Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Hasa weekends, unamkuta mkaka yuko mbele yako, akijnunua mafuta kama kuna kitu anatakiwa kutoa ndani ya gari akitoka nje unakuta amevaa pyajama.
Una haraka ya kwenda wapi mpaka utoke nje ya nyumba na pyajama? Hasa wale wa matawi, Huku kwetu Kwamtogole hatuna tabia hizi.
Ukipata dini unatakiwa kwa mkweo haraka kweli its kwenda umevaa pyajama?
Una haraka ya kwenda wapi mpaka utoke nje ya nyumba na pyajama? Hasa wale wa matawi, Huku kwetu Kwamtogole hatuna tabia hizi.
Ukipata dini unatakiwa kwa mkweo haraka kweli its kwenda umevaa pyajama?