Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
Kama kichwa cha habari kisemavo
Muhimbili mgonjwa anasubiri kumuona daktari amefika toka sa 2 au 3 asubuhi anapewa namba labda 10 sasa hapo utaisoma namba kuja kuingia chumba cha daktari
Anakuja mtu saa 8 mchana amewakuta mmekaa kama mpo msibani anakaa dk 10 tu anaingia kumuona daktari kwa kutumia staff namba na si mmoja staff namba zinasomwa 5 ya raia wa kawaida 1.
Kujuana juana hadi kazini sio ishu kabisa hii
Muhimbili mgonjwa anasubiri kumuona daktari amefika toka sa 2 au 3 asubuhi anapewa namba labda 10 sasa hapo utaisoma namba kuja kuingia chumba cha daktari
Anakuja mtu saa 8 mchana amewakuta mmekaa kama mpo msibani anakaa dk 10 tu anaingia kumuona daktari kwa kutumia staff namba na si mmoja staff namba zinasomwa 5 ya raia wa kawaida 1.
Kujuana juana hadi kazini sio ishu kabisa hii