chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,333
Wakuu uzi huu nimewaletea kwa kuwa na uhakika jibu nitalipata kwenye hadhra hii ya JF kwa vile yenyewe ni JUMUISHO la FIKRA(JF).
Bila kupoteza mda suali langu ni hivi 1)badala ya mbwa kuna viumbe wengine wanaochelewa kutoa shahawa wakati wa kuingiliana?
2) Kitu gani kinachosababisha mbwa wakifanya mapenzi wanasiane?
Bila kupoteza mda suali langu ni hivi 1)badala ya mbwa kuna viumbe wengine wanaochelewa kutoa shahawa wakati wa kuingiliana?
2) Kitu gani kinachosababisha mbwa wakifanya mapenzi wanasiane?