Ile ya mama kusema amuka ule na mjomba hii imekaaje kila ukinunua msosi
🤣🤣🤣 Umenivunja mbavuMimi nilipitiliza kabisa huko nilikokua naenda,maana yule dogo kila saa maza ake anamwambia hutaki nyonyo nitampa anko anyonyee,nimesubiria weee mwishowe nikamwambia kama unanipa nipe ninyonye nimechoka aiseee.
Hapa tupo pamojaTabia nyingine ambayo sipendi ni kukaa na mtu aliyejitanua utadhani siti 2 zote zake.
Mtu amejitanua katikati ya siti 2,badala akalie Moja.
Mtu anaenda kukaa,badala asogee ,anabaki amejitanua hivyohivyo,, Kuna watu sijui hata huwa wanawaza kwa kutumia nini!
Hii seat hata mimi huwa naipenda mno ila bahati mbaya huwa siipati.Nikae siti ya nyuma ya dereva, ili nione barabara vizuri...tena kwenye basi unakuwa juu dereva anakua chini hivi. Safari inakuwa safi kabisa, uwe umekaa na mdada mrembo pembeni, story mbili tatu basi safari itakuwa nzuri.
Nikikaajirani na anaerudisha chenji huwa naboweka sanaJe, ni Tabia Gani hupendi au unapenda ukiwa safarini
Binafsi Napenda kukaa na binti nikiwa safarini ila asiwe na Smartphone kubwa kunizidi. Utakuta wewe una Tecno pop2 F harafu yeye ana iPhone 13. Yaani unakuwa unaona aibu hata kuitoa.
Unakuta kabinti kanajikuta kako busy na Simu kameweka earphone hakatoi ukikakaribisha mhindi unaona kanatoa earphone sikio moja harafu kanajibu "Ahsante stumiagi mimi" na wakati kanaelekea Usukumani
Binafsi hiyo tabia sipendi
Unakakomesha kwa kula na mayai mawili ya kuchemsha halafu unakaambia upepo unakuumiza kifua ndipo unapoachia kitu kinaitwa organic gas from UvinzaJe, ni Tabia Gani hupendi au unapenda ukiwa safarini
Binafsi Napenda kukaa na binti nikiwa safarini ila asiwe na Smartphone kubwa kunizidi. Utakuta wewe una Tecno pop2 F harafu yeye ana iPhone 13. Yaani unakuwa unaona aibu hata kuitoa.
Unakuta kabinti kanajikuta kako busy na Simu kameweka earphone hakatoi ukikakaribisha mhindi unaona kanatoa earphone sikio moja harafu kanajibu "Ahsante stumiagi mimi" na wakati kanaelekea Usukumani
Binafsi hiyo tabia sipendi
🤣🤣🤣 Hiyo inakera endapo akianza kufanya vitu kama hivyo 🤔Kukaa na mtu anakulakula hovyo, yani yeye mayai ya kuchemsha, karanga, mahindi ya kuchemsha mara ya kuchoma, yeye kila anachoona lazima kipite mdomoni. Mwisho anaanza kubeua na kujamba hovyo.
Sipendi hiyo tabia!
Hatari sana Bata zote za safarini unazipitiaNikae siti ya nyuma ya dereva, ili nione barabara vizuri...tena kwenye basi unakuwa juu dereva anakua chini hivi. Safari inakuwa safi kabisa, uwe umekaa na mdada mrembo pembeni, story mbili tatu basi safari itakuwa nzuri.
Dah kama ni binti wa saizi ungetongoza ili akae kimyaKukaa na mtu anauliza uliza maswali sijui tumefika wapi, bado masaa mangapi.
Nimewahi kukaa na mdada huyo anaongea sana asee hadi ikabidi nivunge nimesinzia ila kila nikiamka analianzisha. Nilikereka sana, safari niliona chungu.
NB: Mimi sio mtu wa stori na kujuana juana.
Punguza wivuKuna wale wanaongelea kwa sauti mambo ya nyumbani kwao kwenye bus, wanakera sana
Unakuta mama anamwambia binti wa kazi tunakuja tupo njiani, hakikisha umepika hiki na hiki, halafu mjaze maji kwenye jaba eeh
Jana usiku mlikula nini? Hamjanimiss na wanacheka cheka sana
Mara Baba yenu yupo hapo mumpe simu nimsalimie Mume wangu???
Yaani mambo ya nyumbani kwao wanaongea kwa sauti kama vile yanatuhusu na sisi.
K E R O K U B W A