cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 83,354
- 134,170
Mwanajeshi kabisa.Mjeshi au mwanajeshi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanajeshi kabisa.Mjeshi au mwanajeshi kabisa
Huyu ni Mimi kwanza sijui kukaa mwenzio nkikaa nataka nikunje mguu...napenda sana kusafiri na lift za watu ili niwe huru...kiukweli nawakeraga sana wanaopangwa na Mimi siti moja!Tabia nyingine ambayo sipendi ni kukaa na mtu aliyejitanua utadhani siti 2 zote zake.
Mtu amejitanua katikati ya siti 2,badala akalie Moja.
Mtu anaenda kukaa,badala asogee ,anabaki amejitanua hivyohivyo,, Kuna watu sijui hata huwa wanawaza kwa kutumia nini!
Kama Mimi asehhNapenda kukaa siti ya dirishani,
Sipendi kukaa na mtu mwenye mtoto, sipendi kuongeleshwa labda iwe dharura, sipendi kukaa na mtu mnene anibane bane au atoke mijasho jasho aniguse.
Hata mimi huwa nakunja mguu,lakini kukunja kwangu nahakikisha hakumkeri jirani yangu.Huyu ni Mimi kwanza sijui kukaa mwenzio nkikaa nataka nikunje mguu...napenda sana kusafiri na lift za watu ili niwe huru...kiukweli nawakeraga sana wanaopangwa na Mimi siti moja!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hapo sawa!yaani napenda raha jamani!na sipendagi kukaa na mwanamke mwenzangu kwenye gariHata mimi huwa nakunja mguu,lakini kukunja kwangu nahakikisha hakumkeri jirani yangu.
Hapa penyewe nishakunja zangu mguu.Hapo sawa!yaani napenda raha jamani!na sipendagi kukaa na mwanamke mwenzangu kwenye gari
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Wee kama siafu kila safari...Fanya ununue ndinga usafiri safiriHapa penyewe nishakunja zangu mguu.
Napenda kukaa na mwanaume,ila awe ananukia kama Dr THOMASS SANKARA .
Sipendi mtu wa kunuka kikwapa.View attachment 2018787