Uliigonga ZIRO acha mbwembwe mkuu!Aisee sitokaa nisahau siku nmemkuta dem kwenye daladala nkiwa natoka tabata mawenzi naenda chuo NIT, nikachukua namba mzee nikaingia kazini kumuimbisha mtoto akanielewa. Mipango ikakaa sawa si tukapanga miadi. Ile nmekodi uwanja dem kaja anasema nataka bia nkampa idadi aliyokuwa anataka tukaenda uwanjani kula lile tunda la kati, duuh nashangaa katikati ya mechi duu ananiambia vipi back hutumii? Nliishiwa nguvu nikamwambia mama naomba vaa nguo ondoka haraka. Ile anagomagoma nikavaa mimi nkamuacha. Dah tabata shkamoo japo ndo hom.