zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Anafahamu matokeo halisi yalivyokuwa, na kwa hilo hana cha kufurahia.
Tuoneshe proof ya hayo au yapeleke mahakamani, kama huna proof kaa kimya na ujifikirie.
Anafahamu matokeo halisi yalivyokuwa, na kwa hilo hana cha kufurahia.
Nafsi inamsuta. Pia na kuumwa.
Anafahamu matokeo halisi yalivyokuwa, na kwa hilo hana cha kufurahia.
Mahakama ipi?,Tuoneshe proof ya hayo au yapeleke mahakamani, kama huna proof kaa kimya na ujifikirie.
Nimemfuatilia kwa kipindi cha miaka mitano muheshimiwa Raisi Kikwete kwenye kila kwenye hotuba zake Luningani sintaacha kulipenda lile TABASAMU lake ambalo haliishi kila anapoongea na wananchi wake awe amefurahi! awe amekasirika!TABASAMU liko palepale. Lakini chakushangaza tokea alipotangazwa kapata ridhaa ya Uraisi kwa kipindi chake cha lala salama kuanzia hapo jamaa sasa naona kama anaweka mpaka NDITA usoni! Tabasamu silioni tena ukiliona TABASAMU NA KICHEKO ni kwa mbaaali halafu na sauti ya msisitizo KULIKONI???:bored:
Nimemfuatilia kwa kipindi cha miaka mitano muheshimiwa Raisi Kikwete kwenye kila kwenye hotuba zake Luningani sintaacha kulipenda lile TABASAMU lake ambalo haliishi kila anapoongea na wananchi wake awe amefurahi! awe amekasirika!TABASAMU liko palepale. Lakini chakushangaza tokea alipotangazwa kapata ridhaa ya Uraisi kwa kipindi chake cha lala salama kuanzia hapo jamaa sasa naona kama anaweka mpaka NDITA usoni! Tabasamu silioni tena ukiliona TABASAMU NA KICHEKO ni kwa mbaaali halafu na sauti ya msisitizo KULIKONI???:bored:
Mahakama ipi?,
Katiba ya TZ unaijua?
Jee, hamkuona furaha aliokuwa nayo leo akizindua Udom.
One of the greatest achievements ever, not only in Tanzania or Africa, but worldwide, it has never been surpassed.
Congratulations JMK.
Nashangaa JF hakuna hata post moja inayohusu mafanikio hayo.
Ngoja nikaanzishe.
Du Inaa maana hata damu anachakachua!Hajaenda kuchuja damu siku nyingi wadudu wameanza kuchanganya
Tuoneshe proof ya hayo au yapeleke mahakamani, kama huna proof kaa kimya na ujifikirie.
Mahakama ipi?,
Katiba ya TZ unaijua?
NASHUKURU KWA KUGUNDUA HILO......dalili ya mvua ni mawingu.... sasa ole wao wal rushwa,wabaadhirifu,wakwepa kodi, majambazi...wazandiki....KWANI KAZI SASA IMEANZA..NATABIRI KIPINDI HIKI KUWA CHA KAZI ZAIDI...UTENDAJI ZAIDI...KAMA ENZI ZA SOKOINE......! BIG UP KIKWETE BIG UP MWANA MAPINDUZI.......SASA WAONYESHEE WEWE NI NANI KATIKA MAENDELEO YA NCHI HII....!
Ninafuraha ya kuwa nchi hii walau imekuwa na raisi kwa muda mrefu bila kusafili!