jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,180
- 5,390
Mifumo ya polisi ni mibovu inataki mifumo Yao yaki utawala ibadilishwe wao Wana tumia mitaala ya kikolon kufundishia na Sheria za kikoloni ambazo haziendani na maitaji ya wakati tuliopoHivi huko kwenye mafunzo Yao huwa wanafundishwa kuchukua rushwa kilazima maana ma police wote nchi nzima wanatabia za kufanana ikifatiwa na uhamiaji, haya majeshi yajichunguze ikiwezekana wabadili mafunzo why chombo Cha kusimamia usalama kiongoze kwa rushwa?
Mbona walinzi binafsi huwa hawataki rushwa