Taasisi za Serikali Fanyeni Verification za pages zetu mitandaoni

Roadmap

JF-Expert Member
Aug 19, 2013
2,898
5,796
Wanajamvi Habari za wikìend kiukweli nimeshangazwa na taasisi na mashirika ya umma ya nchini hapa kushindwa kuverify account zao katika social media sitaki kuamini kama hawaoni umuhimu kufanya ivo ila tu ujue mtu akisoma habari fulani katika page verified basi anakuwa na amani na trust inaongeza leo nilikuwa na peruzi Twitter nimeshangazwa kwa kweli mfano majirani zetu wame verify account zao balaa kabisa sisi shida nini. Ukurusa ambao uko verified unakuwa na tick ya blue hii ni page official ya ttcl na air Tanzania ila zote haziko verified na huu ni ukurusa wa kenya airways uko verified
Screenshot_20190825-191937_Twitter.jpeg
Screenshot_20190825-192134_Twitter.jpeg
Screenshot_20190825-192107_Twitter.jpeg
Screenshot_20190825-192222_Twitter.jpeg
 
Back
Top Bottom