Uchaguzi 2020 Taasisi za Kimataifa zatoa tafiti zao kuhusu Magufuli na uchaguzi wa 2020

Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.

Kulingana na Tafiti na Chambuzi zake za hivi karibuni zinazohusu uchaguzi wa Tanzania wa mwaka ujao wa 2020,
Rais Magufuli anategemewa kuchaguliwa tena kwa kura nyingi sana (kiasi gani?) kuliko uchaguzi uliopita wa mwaka 2015.

Tafiti zao zinaonyesha pia kuwa, chama cha CCM kitachukua viti vingi sana (asilimia ngapi?) vya UBUNGE na hivyo kuvinyima vyama vya upinzani nafasi nyingi za UBUNGE.

Tafiti zinasema pamoja na kuwa vyama vya upinzani vimejaribu sana bado CCM itapata ushindi mkubwa sana (asilimia ngapi?) na hivyo kuifanya Tanzania kubaki nchi iliyo na Stability/AMANI kwa miaka mingi ijayo.
Chanzo: EIU.

Utafiti huwa na takwimu - wewe inaonekana una bifu na number!
 
Hiyo ni dhana tu.
Kama ingekuwa ni hivyo, basi tusingekuwa na Wabunge wa vyama vingine kando ya CCM.
aliyesema ni mwenyekiti wa CCM na hawezi kusema kitu cha kuzania ambacho hakifanyiki, wabunge wa CHADEMA waliopo walilazimika kuwatangaza kwa kuogopa nguvu ya umma na kama wasingewatangaza pangechimbika, sasa amekuja huyu wakutupigia mpaka shangazi zetu siyo hali itakuwaje kama siyokuwapiga risasi wote watakaojifanya kufanya fyoko.
 
Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.
Taasisi hiyo ya kimataifa ambayo ndo think tank kuu ya mambo ya kimataifa katika Nyanja za KISIASA, KIUCHUMI n.k.imetoa utafiti wake.

Miongoni mwa kazi zake kuu ni kufanya Utafiti/Research na ANALYSIS/ UCHAMBUZI ili kupata MATOKEO/ PROJECTION za nchi mbali mbali kuhusu Siasa na Uchumi na hivyo kubashiri wakiwa wamelenga shabaha kabisa/ Accuracy katika ubashiri wao.

Kulingana na Tafiti na Chambuzi zake za hivi karibuni zinazohusu uchaguzi wa Tanzania wa mwaka ujao wa 2020,
Rais Magufuli anategemewa kuchaguliwa tena kwa kura nyingi sana kuliko uchaguzi uliopita wa mwaka 2015.

Tafiti zao zinaonyesha pia kuwa, chama cha CCM kitachukua viti vingi sana vya UBUNGE na hivyo kuvinyima vyama vya upinzani nafasi nyingi za UBUNGE.

Tafiti zinasema pamoja na kuwa vyama vya upinzani vimejaribu sana bado CCM itapata ushindi mkubwa sana na hivyo kuifanya Tanzania kubaki nchi iliyo na Stability/AMANI kwa miaka mingi ijayo.
Chanzo: EIU.

Hivi mbona hizi tafiti hazioneshi madhaifu yake?
Mbona hizo tafiti hazioneshi kuwa anawanunua wapinzani au kuwalazimisha wajiunge na ccm?
Mbona hizo tafiti azioneshi kuwa uhuru wa vyama pinzani umemenywa kiasi kwamba haviruhusiwi kufanya mikutano ya ndani wala ya nje?


Mimi siamini katika tafiti hizi
 
Mataga tupatie link ya huo utafiti ,pili Jiwe hakushinda 2015 na hatoshinda sema spite kwa njia ileile NEC ,tiss ,policcm .

Mkuu hataweza kutoa link ya huo utafiti, kwa kuwa huu ni utafiti wa ma PHd wa umbeya wa Lumumba buku 7. Akili zao ndio zilipoishia hapo.
 
wananchi hawawezi kuwachagua watu wenye familia
Wanapokataliwa kuchaguliwa na wananchi kwa kuwa ni watu wenye familia ndipo wanapokimbilia kujitangaza kwa kuwa wanamiliki vyombo vya dola na tume ya uchaguzi ni mali yao.
 
aliyesema ni mwenyekiti wa CCM na hawezi kusema kitu cha kuzania ambacho hakifanyiki, wabunge wa CHADEMA waliopo walilazimika kuwatangaza kwa kuogopa nguvu ya umma na kama wasingewatangaza pangechimbika, sasa amekuja huyu wakutupigia mpaka shangazi zetu siyo hali itakuwaje kama siyokuwapiga risasi wote watakaojifanya kufanya fyoko.
Mkuu si kweli hata kidogo!
Nipe mfano wa Mbunge mmoja.
 
Hivi mbona hizi tafiti hazioneshi madhaifu yake?
Mbona hizo tafiti hazioneshi kuwa anawanunua wapinzani au kuwalazimisha wajiunge na ccm?
Mbona hizo tafiti azioneshi kuwa uhuru wa vyama pinzani umemenywa kiasi kwamba haviruhusiwi kufanya mikutano ya ndani wala ya nje?


Mimi siamini katika tafiti hizi
Mkuu Tafiti huwanyika KISAYANSI kwa kutumia mbinu mbali mbali ambazo huunganishwa na kupata projection inayotafutwa!
 
Hivi mbona hizi tafiti hazioneshi madhaifu yake?
Mbona hizo tafiti hazioneshi kuwa anawanunua wapinzani au kuwalazimisha wajiunge na ccm?
Mbona hizo tafiti azioneshi kuwa uhuru wa vyama pinzani umemenywa kiasi kwamba haviruhusiwi kufanya mikutano ya ndani wala ya nje?


Mimi siamini katika tafiti hizi
Ulimbo. Uamini usiamini.Rais Magufuli atachaguliwa tena. Huo ndo ukweli usiopingika.
Jaribu hata wewe kufanya observation yako tu kibinafsi utagundua kuwa Dr. JP Magufuli atawaangusha kwa mbali sana wapinzani wake!
 
Matokeo ya wabunge yanatangazwa na wakurugenzi ambao ni makada wa CCM,

ati uchaguzi ukifanyika, jiwe mwenyewe anauogopa ndio maana safu yote ya kutoa matokeo wamejaa mazwazwa na makada wa CCM.

Shame on you dogs

Sent using Jamii Forums mobile app
Nauliza. Wabunge wa UPINZANI walioko bungeni je waliwekwa na CCM?
 
Back
Top Bottom