MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 3,671
- 4,988
Chupi imevaliwa kichwani
Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.
Kulingana na Tafiti na Chambuzi zake za hivi karibuni zinazohusu uchaguzi wa Tanzania wa mwaka ujao wa 2020,
Rais Magufuli anategemewa kuchaguliwa tena kwa kura nyingi sana (kiasi gani?) kuliko uchaguzi uliopita wa mwaka 2015.
Tafiti zao zinaonyesha pia kuwa, chama cha CCM kitachukua viti vingi sana (asilimia ngapi?) vya UBUNGE na hivyo kuvinyima vyama vya upinzani nafasi nyingi za UBUNGE.
Tafiti zinasema pamoja na kuwa vyama vya upinzani vimejaribu sana bado CCM itapata ushindi mkubwa sana (asilimia ngapi?) na hivyo kuifanya Tanzania kubaki nchi iliyo na Stability/AMANI kwa miaka mingi ijayo.
Chanzo: EIU.
Hiyo nimekupa ni link tayari. Acha uvivu. Tafuta.
aliyesema ni mwenyekiti wa CCM na hawezi kusema kitu cha kuzania ambacho hakifanyiki, wabunge wa CHADEMA waliopo walilazimika kuwatangaza kwa kuogopa nguvu ya umma na kama wasingewatangaza pangechimbika, sasa amekuja huyu wakutupigia mpaka shangazi zetu siyo hali itakuwaje kama siyokuwapiga risasi wote watakaojifanya kufanya fyoko.Hiyo ni dhana tu.
Kama ingekuwa ni hivyo, basi tusingekuwa na Wabunge wa vyama vingine kando ya CCM.
Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.
Taasisi hiyo ya kimataifa ambayo ndo think tank kuu ya mambo ya kimataifa katika Nyanja za KISIASA, KIUCHUMI n.k.imetoa utafiti wake.
Miongoni mwa kazi zake kuu ni kufanya Utafiti/Research na ANALYSIS/ UCHAMBUZI ili kupata MATOKEO/ PROJECTION za nchi mbali mbali kuhusu Siasa na Uchumi na hivyo kubashiri wakiwa wamelenga shabaha kabisa/ Accuracy katika ubashiri wao.
Kulingana na Tafiti na Chambuzi zake za hivi karibuni zinazohusu uchaguzi wa Tanzania wa mwaka ujao wa 2020,
Rais Magufuli anategemewa kuchaguliwa tena kwa kura nyingi sana kuliko uchaguzi uliopita wa mwaka 2015.
Tafiti zao zinaonyesha pia kuwa, chama cha CCM kitachukua viti vingi sana vya UBUNGE na hivyo kuvinyima vyama vya upinzani nafasi nyingi za UBUNGE.
Tafiti zinasema pamoja na kuwa vyama vya upinzani vimejaribu sana bado CCM itapata ushindi mkubwa sana na hivyo kuifanya Tanzania kubaki nchi iliyo na Stability/AMANI kwa miaka mingi ijayo.
Chanzo: EIU.
Mataga tupatie link ya huo utafiti ,pili Jiwe hakushinda 2015 na hatoshinda sema spite kwa njia ileile NEC ,tiss ,policcm .
Wanapokataliwa kuchaguliwa na wananchi kwa kuwa ni watu wenye familia ndipo wanapokimbilia kujitangaza kwa kuwa wanamiliki vyombo vya dola na tume ya uchaguzi ni mali yao.wananchi hawawezi kuwachagua watu wenye familia
Watashindaje wakati wanachaguliwa na wananchi CCM wanajitangaza kuwa wao ndio walioshinda wakati kura za wananchi zimewachagua wapinzani.Haijawahi kutokea mpinzani akawaza kushinda urais sasa ataibiwaje....
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo ya wabunge yanatangazwa na wakurugenzi ambao ni makada wa CCM,Unaweza kutupa facts zako ili uni prove wrong?
Kuchukua ni kuchukua tu, hata goli hufungwa kwa mkono na kuhalalishwa na refa. This is LumumbaNi kwel itachukua lkn sio kwa njia ya haki ubunge hadi urais wenyewe
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama kungekuwa na wizi wa kura nini kilichofanyika wabunge wa UPINZANI kuingia Bungeni?Then agree kwamba CCM siyo chaguo la watu isipokuwa wizi wa kura!
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya utafiti mkuu.Hivi hawa walizungumzia juu ya uchaguzi wa urais zanzibar mwaka 2015 kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!Unaujua ukweli wa yaliyotokea, kama huujui basi fuatilia kwa makini uchaguzi wowote utakaokuja.
Kwa kifupi umenielewa!Utafiti huwa na takwimu - wewe inaonekana una bifu na number!
Mkuu tumia lugha ya kiistarabu.Si uvivu wewe mwenyewe umeandika kama kichaa - umesoma lkn unashindwa kudokeza takwimu zilizokwisha ainishwa?
Mkuu si kweli hata kidogo!aliyesema ni mwenyekiti wa CCM na hawezi kusema kitu cha kuzania ambacho hakifanyiki, wabunge wa CHADEMA waliopo walilazimika kuwatangaza kwa kuogopa nguvu ya umma na kama wasingewatangaza pangechimbika, sasa amekuja huyu wakutupigia mpaka shangazi zetu siyo hali itakuwaje kama siyokuwapiga risasi wote watakaojifanya kufanya fyoko.
Mkuu Tafiti huwanyika KISAYANSI kwa kutumia mbinu mbali mbali ambazo huunganishwa na kupata projection inayotafutwa!Hivi mbona hizi tafiti hazioneshi madhaifu yake?
Mbona hizo tafiti hazioneshi kuwa anawanunua wapinzani au kuwalazimisha wajiunge na ccm?
Mbona hizo tafiti azioneshi kuwa uhuru wa vyama pinzani umemenywa kiasi kwamba haviruhusiwi kufanya mikutano ya ndani wala ya nje?
Mimi siamini katika tafiti hizi
Ulimbo. Uamini usiamini.Rais Magufuli atachaguliwa tena. Huo ndo ukweli usiopingika.Hivi mbona hizi tafiti hazioneshi madhaifu yake?
Mbona hizo tafiti hazioneshi kuwa anawanunua wapinzani au kuwalazimisha wajiunge na ccm?
Mbona hizo tafiti azioneshi kuwa uhuru wa vyama pinzani umemenywa kiasi kwamba haviruhusiwi kufanya mikutano ya ndani wala ya nje?
Mimi siamini katika tafiti hizi
Nauliza. Wabunge wa UPINZANI walioko bungeni je waliwekwa na CCM?Matokeo ya wabunge yanatangazwa na wakurugenzi ambao ni makada wa CCM,
ati uchaguzi ukifanyika, jiwe mwenyewe anauogopa ndio maana safu yote ya kutoa matokeo wamejaa mazwazwa na makada wa CCM.
Shame on you dogs
Sent using Jamii Forums mobile app