- Thread starter
- #161
I wish ningekusaidia upate vitu vya ndani.Muongo wewe hii link yako inakupeleka kwenye home page ambayo hiyo ripoti haipo. Halafu siku nyingine ukitoa hoja kumbuka ni jukumu lako kuitetea kwa vielelezo na sio kuwaambia watu wakatafute vyanzo.
Hata hivyo jaribu kutafuta maana ni msitu mkubwa.