Uchaguzi 2020 Taasisi za Kimataifa zatoa tafiti zao kuhusu Magufuli na uchaguzi wa 2020

Nipe sababu zako!
CCM huwa hawashindi kihalali.
Nipe sababu zako!
Sababu zangu ni kwamba CCM hajawahi kushinda kihalali, sababu kubwa zaidi kuliko zote ni hii,mkurugenzi nimekuteua mimi,ninakulipa mshahara, unaishi kwenye nyumba ya serekali, unatembelea gari ya serekali halafu nikusikie umetangaza mpinzani kashinda, maneno hayo na marufuku hiyo siyo ya kwangu ni ya mwenye serekali yake.
 
UTAKUWA UTAFITI WAKO. HAKUNA KICHWA KINAISHI LONDON KINAWEZA KUWAZA HIVI.
CHINI YA POMBE HAKUNA UCHAGUZI
 
Ukiongelea uchaguzi wa Tanzania ni lazima uguse tume ya uchaguzi, vyombo vya dola, vyombo vya habari na magoli ya mikono...... kisha huo utafiti wauandike tena upya na kwa lugha ya kiswahili kisha ukausome.
 
CCM akili zenu mnazijua wenyewe tu, huu utafiti ungekuwa opposite kwenu basi mngesema hao ni MABEBERU wamebanwa na jiwe.
 
Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.
Taasisi hiyo ya kimataifa ambayo ndo think tank kuu ya mambo ya kimataifa katika Nyanja za KISIASA, KIUCHUMI n.k.imetoa utafiti wake.

Miongoni mwa kazi zake kuu ni kufanya Utafiti/Research na ANALYSIS/ UCHAMBUZI ili kupata MATOKEO/ PROJECTION za nchi mbali mbali kuhusu Siasa na Uchumi na hivyo kubashiri wakiwa wamelenga shabaha kabisa/ Accuracy katika ubashiri wao.

Kulingana na Tafiti na Chambuzi zake za hivi karibuni zinazohusu uchaguzi wa Tanzania wa mwaka ujao wa 2020,
Rais Magufuli anategemewa kuchaguliwa tena kwa kura nyingi sana kuliko uchaguzi uliopita wa mwaka 2015.

Tafiti zao zinaonyesha pia kuwa, chama cha CCM kitachukua viti vingi sana vya UBUNGE na hivyo kuvinyima vyama vya upinzani nafasi nyingi za UBUNGE.

Tafiti zinasema pamoja na kuwa vyama vya upinzani vimejaribu sana bado CCM itapata ushindi mkubwa sana na hivyo kuifanya Tanzania kubaki nchi iliyo na Stability/AMANI kwa miaka mingi ijayo.
Chanzo: IEU.
Link please!
 
Habari za utafiti wa hivi karibuni toka shirika amaTaasisi ya kimataifa ya Intelijensia ya Kiuchumi/ Economist Intelligence Unit/EIU lenye makao yake makuu jijini London Uingereza, limetoa matokeo yake ya kitafiti kuhusu UCHAGUZI ujao wa 2020 wa Tanzania.
Taasisi hiyo ya kimataifa ambayo ndo think tank kuu ya mambo ya kimataifa katika Nyanja za KISIASA, KIUCHUMI n.k.imetoa utafiti wake.
Source please! unashindwa hata kuweka link?
 
Huitaji kuwa na PHD kujua hilo kwa upinzani upi uliopo sasa hadi 2020 wachukue nchi
Inatakiwa wajenge vyama na kujipanga kwa 2025
Lakini watatujaza ujinga na ukiisha uchaguzi watatuambia kuwa walishinda ila waliibiwa kura


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom