Taasisi yetu mpaka sasa hakuna aliyepewa barua ya kupandishwa daraja

Hawa watu nilishawahi kuwabananisha na Waziri mkuu Majaliwa.
Sasa hapa siwezi kuingia kichwakichwa maana wakijua ni mimi tena nimewachomekea watanitengenezea zengwe.
Umeshasema Siri tayari,kuwa uliwabananisha na Majaliwa.
Watakutrace.
Umeharibu tayari.
 
Ufanisi!!!!!!!
Hilo ndilo tatizo la mamburura wengi.
Kama sijatimiza viwango nilivyopangiwa si ningefukuzwa kazi.
Mwajiri kuendelea kuwa na mimi ina maana kuwa ananihitaji na ninafit.
Asitokee mwehu yeyote kutaka kutuhadaa watumishi kwa visingizio vya uchapakazi, uadilifu n.k
Kama nina kosa niwajibishwe accordingly na mwajiri anilipe vizuri.
Kinyume cha happy tutakuwa tunajilipa in terms of time of resources and money.
Kweli kabisa,halafu kila siku ripoti za Wizara mbalimbali zinasomwa zinatolewa na hata bajeti zinasomwa Bungeni,wafanyakazi wangekua hawawajibiki ripoti hizo zingetokaje?
Na uchumi wa Kati tungefikiaje?
 
Si ndo happy sasa. Sijui wanajua Magufuli ndio kafanya kazi.
Kweli kabisa,halafu kila siku ripoti za Wizara mbalimbali zinasomwa zinatolewa na hata bajeti zinasomwa Bungeni,wafanyakazi wangekua hawawajibiki ripoti hizo zingetokaje?
Na uchumi wa Kati tungefikiaje?
 
Wengine tulipata Barua mapema kwa mbwembwe cha ajabu salary imetoka haina marekebisho ya daraja wala kalavati!
Ehehehe.
Kuna jamaa yangu kupandishwa daraja ingawa hajapata barua. Mimi naogopa kucheki salio . Nikikuta hamna mabadiliko siku yangu itaharibika.
 
Ofisi nyingi hasa zilizo chini ya TAMISEMI ,watumishi waliombwa oprass hadi za miaka ya nyuma. Wengine walikuwa hawana, wakaanza kufoji kwa umakini hasa kipengele cha tarehe.

Sina uhakika, ila inasemekana walikuwa wana-upload font page na back page ambayo huwa ina comment, nafikir wajazaji wa oprass wanafahamu.

Umesema ulikuwa unapuuza kujaza oprass. Siku nyingine, hata kama unaona jambo halina umuhimu kwako, ila kama umeagizwa na kiongozi kulifanya, basi wewe lifanye tu.

Wakati mwingine viongozi wanaamua kutafuta sababu za kupunguza watu fulani kwa kuweka vigezo, ambavyo vinaweza kukuathiri kutokana na kupuuza. Kwa mfano, oprass zinatakiwa kukamilishwa mwisho wa mwaka. Sasa kama mlijaza kwa presha wiki mbili zilizopita, halafu mkajikuta mmezikosea (mfano kuback date), wakigoma kuwapandisha daraja, je utamlalamikia nani?

Ieleweke mpaka sasa, kigezo kimojawapo cha kupanda daraja ni oprass. Suala kwamba hawaziangalii, hilo ni wao. Ila wanaweza kuzifanyia kazi kisawa sawa. Hivyo, usiishi kwa mazoea!

NB. Mmejaza oprass wiki mbili zilizopita. Leo ni mwaka 2021, na mwaka haujaisha. Oprass zilizokuwa zinaangaliwa zaidi ni 2020 kushuka chini. Sasa nyie mmejaza oprass za lini?
 
Ofisi nyingi hasa zilizo chini ya TAMISEMI ,watumishi waliombwa oprass hadi za miaka ya nyuma. Wengine walikuwa hawana, wakaanza kufoji kwa umakini hasa kipengele cha tarehe.

Sina uhakika, ila inasemekana walikuwa wana-upload font page na back page ambayo huwa ina comment, nafikir wajazaji wa oprass wanafahamu.

Umesema ulikuwa unapuuza kujaza oprass. Siku nyingine, hata kama unaona jambo halina umuhimu kwako, ila kama umeagizwa na kiongozi kulifanya, basi wewe lifanye tu.

Wakati mwingine viongozi wanaamua kutafuta sababu za kupunguza watu fulani kwa kuweka vigezo, ambavyo vinaweza kukuathiri kutokana na kupuuza. Kwa mfano, oprass zinatakiwa kukamilishwa mwisho wa mwaka. Sasa kama mlijaza kwa presha wiki mbili zilizopita, halafu mkajikuta mmezikosea (mfano kuback date), wakigoma kuwapandisha daraja, je utamlalamikia nani?

Ieleweke mpaka sasa, kigezo kimojawapo cha kupanda daraja ni oprass. Suala kwamba hawaziangalii, hilo ni wao. Ila wanaweza kuzifanyia kazi kisawa sawa. Hivyo, usiishi kwa mazoea!

NB. Mmejaza oprass wiki mbili zilizopita. Leo ni mwaka 2021, na mwaka haujaisha. Oprass zilizokuwa zinaangaliwa zaidi ni 2020 kushuka chini. Sasa nyie mmejaza oprass za lini?
mh mkuu wa idara nimekupata vyema kiongoz.haya tunashkuru mubg hata hicho kidg wengine hawapat mungu akipenda hata 2026
 
Ofisi nyingi hasa zilizo chini ya TAMISEMI ,watumishi waliombwa oprass hadi za miaka ya nyuma. Wengine walikuwa hawana, wakaanza kufoji kwa umakini hasa kipengele cha tarehe.

Sina uhakika, ila inasemekana walikuwa wana-upload font page na back page ambayo huwa ina comment, nafikir wajazaji wa oprass wanafahamu.

Umesema ulikuwa unapuuza kujaza oprass. Siku nyingine, hata kama unaona jambo halina umuhimu kwako, ila kama umeagizwa na kiongozi kulifanya, basi wewe lifanye tu.

Wakati mwingine viongozi wanaamua kutafuta sababu za kupunguza watu fulani kwa kuweka vigezo, ambavyo vinaweza kukuathiri kutokana na kupuuza. Kwa mfano, oprass zinatakiwa kukamilishwa mwisho wa mwaka. Sasa kama mlijaza kwa presha wiki mbili zilizopita, halafu mkajikuta mmezikosea (mfano kuback date), wakigoma kuwapandisha daraja, je utamlalamikia nani?

Ieleweke mpaka sasa, kigezo kimojawapo cha kupanda daraja ni oprass. Suala kwamba hawaziangalii, hilo ni wao. Ila wanaweza kuzifanyia kazi kisawa sawa. Hivyo, usiishi kwa mazoea!

NB. Mmejaza oprass wiki mbili zilizopita. Leo ni mwaka 2021, na mwaka haujaisha. Oprass zilizokuwa zinaangaliwa zaidi ni 2020 kushuka chini. Sasa nyie mmejaza oprass za lini?

Hakuna siku nimeacha kujaza Opras ila hawajanipandisha nimemuuliza mhusika kanijibu kuwa wamenisahau bahati mbaya, nimekosa cha kuongea
 
Kuona mabadiliko kwenye mshahara raha sana! Maticha waloona mabadiliko kwenye salary
 
Back
Top Bottom