Taasisi yetu mpaka sasa hakuna aliyepewa barua ya kupandishwa daraja

Ofisi yetu ina jumla ya watumishi wapatao elfu moja Tanzania mzima kwa makadirio.

Mpaka sasa kila nikiwapigia watumishi wenzangu walioko mikoa tofauti naambiwa hakuna aliyepata barua ya kupandishwa daraja au cheo.

Wiki mbili zilizopita tulijazishwa ma Opras. Wengine huyaita hopeless. Mimi miaka karibu yote nakataa kuyajaza, nimejaza majuzi baada ya kuambiwa kuwa yatawekwa mezani kusort watumishi watakaopanda madaraja.

Niko tayari kutoa ushirikiano kwa kuitaja ofisi husika endapo atatokea kiongozi kwa maelezo zaidi.
wenzio wanakuficha siri zao, kada nyingi wengi wamepata barua hizo, swala kubwa hapo ni iwapo muamala utasomeka!!!
 
Mnalalamika tuu kutopandishwa vyeo mbona hamuongelei ufanisi wa nafasi mlizonazo kwa sasa.
Kwa nini upandishwe cheo wakati hapo mlipo hakuna ufanisi wowote???
 
Ofisi yetu ina jumla ya watumishi wapatao elfu moja Tanzania mzima kwa makadirio.

Mpaka sasa kila nikiwapigia watumishi wenzangu walioko mikoa tofauti naambiwa hakuna aliyepata barua ya kupandishwa daraja au cheo.

Wiki mbili zilizopita tulijazishwa ma Opras. Wengine huyaita hopeless. Mimi miaka karibu yote nakataa kuyajaza, nimejaza majuzi baada ya kuambiwa kuwa yatawekwa mezani kusort watumishi watakaopanda madaraja.

Niko tayari kutoa ushirikiano kwa kuitaja ofisi husika endapo atatokea kiongozi kwa maelezo zaidi.
Mpeni mama muda, bado anajenga nchi😅😅
 
Mnalalamika tuu kutopandishwa vyeo mbona hamuongelei ufanisi wa nafasi mlizonazo kwa sasa.
Kwa nini upandishwe cheo wakati hapo mlipo hakuna ufanisi wowote???
Ufanisi!!!!!!!
Hilo ndilo tatizo la mamburura wengi.
Kama sijatimiza viwango nilivyopangiwa si ningefukuzwa kazi.
Mwajiri kuendelea kuwa na mimi ina maana kuwa ananihitaji na ninafit.
Asitokee mwehu yeyote kutaka kutuhadaa watumishi kwa visingizio vya uchapakazi, uadilifu n.k
Kama nina kosa niwajibishwe accordingly na mwajiri anilipe vizuri.
Kinyume cha happy tutakuwa tunajilipa in terms of time of resources and money.
 
Hawa watu nilishawahi kuwabananisha na Waziri mkuu Majaliwa.
Sasa hapa siwezi kuingia kichwakichwa maana wakijua ni mimi tena nimewachomekea watanitengenezea zengwe.
"Niko tayari kutoa ushirikiano kwa kuitaja ofisi husika endapo atatokea kiongozi kwa maelezo zaidi."

Kumbuka hayo maneno umesema mwanzo.
Sema uko wapi na Taasisi ipi?
Msaada uko karibu
 
FB_IMG_1624340884223.jpg
 
Ofisi yetu ina jumla ya watumishi wapatao elfu moja Tanzania mzima kwa makadirio.

Mpaka sasa kila nikiwapigia watumishi wenzangu walioko mikoa tofauti naambiwa hakuna aliyepata barua ya kupandishwa daraja au cheo.

Wiki mbili zilizopita tulijazishwa ma Opras. Wengine huyaita hopeless. Mimi miaka karibu yote nakataa kuyajaza, nimejaza majuzi baada ya kuambiwa kuwa yatawekwa mezani kusort watumishi watakaopanda madaraja.

Niko tayari kutoa ushirikiano kwa kuitaja ofisi husika endapo atatokea kiongozi kwa maelezo zaidi.
Pole sana mtumishi mwenzangu. Mimi barua nilipata na nasikia kesho inshaallaaah!!
 
Back
Top Bottom