mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Mwenyekiti wa taasisi ya kiislam Dar bwana Sadiki Kotikoti na wajumbe wenzake wamelaani vitendo vya wanauamsho wa Zanzibar na wamesema UAMSHO hawana tofauti na Alshabaab au al-qaeda.
Pia ameiomba serikali iwachukulie hatua kali sana za kinidhamu.
Source: ITV Habari saa mbili usiku leo
Pia ameiomba serikali iwachukulie hatua kali sana za kinidhamu.
Source: ITV Habari saa mbili usiku leo