Taasisi ya Misaada ya Kijamii (TSSF) imeamriwa kusitisha shughuli zake zote kuanzia Novemba 14, 2017

Jela unaushahidi wamemuibia nani? Watu wanapo anzisha kitu tunapaswa kuwasupport au km mawazo kuboresha tuwasaidie, ikiwemo serikali. Lkn ukiona unaponda ujue, una wivu a roho ya kwann. Kwa afrika nikawaida lkn sikishangai
wivu kwa namna gani?wanachokifanya ni ku float na application fee, mna apply watu 30k, wanapata watu 500, waonyeshe vyanzo vya mtaji wao
 
sasa hao madirecrot walivyo na njaa si wangemuazima doctor Shika kidogo ana muonekano wa vijisenti.
Acha dharau, hii ndio shida yetu waTZ tuna wivu na hatupendi MTU afanikiwe. Ifike mahali tupeane support na kuacha personal traits na chiki
 
Ulitaka madirector waweje? Acha fikra fupi. Inawezekana ikawa organization mpya kuna mtu kaweka hela yake afu wameajieiwa vjana waiendeshe. Tunatofaitiana sana, wapo vjana wanaojiamini kufanya mambo makubwa. Ndo maana mnaishia kumchukia makonda bila sababu mnazozijua. Andrew Lajoulina alimpindua Lavaro Manana akiwa na umri wa miaka 26 wkt huku kwetu umri huo bado mtu yupo kwa baba na akimaliza chuo, anamsubiri mjomba amuunganishie kazi
Well said brother. Tatizo TZ ni wivu na uwezo mdogo kifikra. Personally Ndo maana sitarajii kurudi eti kuja kufanya kazi huko. Ni kuna mazwazwa tele
 
Acha upuuzi, mimi mwenyewe ni kijana tena very smart, haihitaji akili ya ziada kutambua frauds kama hawa
Wewe ndio mpuuzi mkuu. Frauds zao ni zipi? Kwanini walipewa usajili na msajili? Nani wamemtapeli, wapi na sh ngapi? Acha wivu was kike wewe.

Unajua nini maana ya mkopo wewe???? Hao wanatoa na si kupokea!!!
 
Vijitasisi vingine vina raise eyebrows sana.Kwa mtu mwenye hekima na busara anajua wazi kwamba kuna ajenda ya siri,which is of course true for all NGOs without exception.Ila kwa haka(TSSF),I think it's too obvious.
Ndugu unaifahamu vipi hiyo institution? Au tatizo lako ni umri?
 
Jela unaushahidi wamemuibia nani? Watu wanapo anzisha kitu tunapaswa kuwasupport au km mawazo kuboresha tuwasaidie, ikiwemo serikali. Lkn ukiona unaponda ujue, una wivu a roho ya kwann. Kwa afrika nikawaida lkn sikishangai
Kweli mkuu. Inasikitisha sana tu
 
Na wale ambao walichangishwa fedha serikali inawafidiaje pesa zao? maana taasisi hiyo kama iko kihalali na imesajiliwa ni wajibu itimize ilichokusudia au ishtakiwe na sio kufungia shughuli tuu wakati wengine wameshaumia
Naibu waziri wa Elimu Bw. Wile ameshasema serikali itawaangalia vijana hao 600 waliokwishatapeliwa wakati wanaendelea na masomo yao chuoni wasije pata stroke.

Sasa bado hii puzzle, kwamba je itawalipia the rest of cost za chuo au watarudisha hizo 30K zenu mtambae?.
 
Ndugu unaifahamu vipi hiyo institution? Au tatizo lako ni umri?
Najua agenda za NGOs zote pamoja na TSSF.Hizi ni tools za nchi za magharibi specifically the NWO to disstabilize world governments for the world domination end game.Inawezekana ukawa employee wao na ukatumiwa kama karai bila wewe mwenyewe kujua,na kwa comment yako hii, inaonekana wazi kwamba hujui.Pole.
 
Wewe ndio mpuuzi mkuu. Frauds zao ni zipi? Kwanini walipewa usajili na msajili? Nani wamemtapeli, wapi na sh ngapi? Acha wivu was kike wewe.

Unajua nini maana ya mkopo wewe???? Hao wanatoa na si kupokea!!!
wivu kwa maana ipi chupi wewe?niwaonee wivu kwa sababu ipi?hawa ni matapeli na hilo halina ubishi
 
Ulitaka madirector waweje? Acha fikra fupi. Inawezekana ikawa organization mpya kuna mtu kaweka hela yake afu wameajieiwa vjana waiendeshe. Tunatofaitiana sana, wapo vjana wanaojiamini kufanya mambo makubwa. Ndo maana mnaishia kumchukia makonda bila sababu mnazozijua. Andrew Lajoulina alimpindua Lavaro Manana akiwa na umri wa miaka 26 wkt huku kwetu umri huo bado mtu yupo kwa baba na akimaliza chuo, anamsubiri mjomba amuunganishie kazi
nadhani Andrew Rajolina alikuwa na miaka 36 wakati anachukua uongozi wa Madagascar mwaka 2009.
 
Back
Top Bottom