Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka madirector waweje? Acha fikra fupi. Inawezekana ikawa organization mpya kuna mtu kaweka hela yake afu wameajieiwa vjana waiendeshe. Tunatofaitiana sana, wapo vjana wanaojiamini kufanya mambo makubwa. Ndo maana mnaishia kumchukia makonda bila sababu mnazozijua. Andrew Lajoulina alimpindua Lavaro Manana akiwa na umri wa miaka 26 wkt huku kwetu umri huo bado mtu yupo kwa baba na akimaliza chuo, anamsubiri mjomba amuunganishie kazihao ndio ma director?wanaonekana wahuni wa mjini tuu...ipigwe stop
Acha upuuzi, mimi mwenyewe ni kijana tena very smart, haihitaji akili ya ziada kutambua frauds kama hawaUlitaka madirector waweje? Acha fikra fupi. Inawezekana ikawa organization mpya kuna mtu kaweka hela yake afu wameajieiwa vjana waiendeshe. Tunatofaitiana sana, wapo vjana wanaojiamini kufanya mambo makubwa. Ndo maana mnaishia kumchukia makonda bila sababu mnazozijua. Andrew Lajoulina alimpindua Lavaro Manana akiwa na umri wa miaka 26 wkt huku kwetu umri huo bado mtu yupo kwa baba na akimaliza chuo, anamsubiri mjomba amuunganishie kazi
Fraudi kisa vijana? au ulitaka wavae suti? acha kushikiwa akiliAcha upuuzi, mimi mwenyewe ni kijana tena very smart, haihitaji akili ya ziada kutambua frauds kama hawa
braza sijawahi kushikiwa akili, ni siyo blind kabisa kuona wanachofanya jamaa, ni upuuzi hata baada ya miaka 5, hawataweza kutoa huduma wanayoitoa...kama unahusika nyumba yenu itakuwa jela moja kwa moja kwa utapeli wenuFraudi kisa vijana? au ulitaka wavae suti? acha kushikiwa akili
Ww ni director wa nn? Au ndo director wa housegirl na houseboy bro!Acha upzi, mimi mwenyewe ni kijana tena very smart, haihitaji akili ya ziada kutambua frauds kama hawa
Vijitasisi vingine vina raise eyebrows sana.Kwa mtu mwenye hekima na busara anajua wazi kwamba kuna ajenda ya siri,which is of course true for all NGOs without exception.Ila kwa haka(TSSF),I think it's too obvious.Taasisi ya Misaada ya Kijamii (TSSF) imeamriwa kusitisha shughuli zake zote kuanzia Novemba 14, 2017 na Msajili wa mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs).
Ni ile taasisi iliyodai inatoa mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu.
View attachment 631280
Hao waliochangia imekula kwao kama wale wa DECI.Na wale ambao walichangishwa fedha serikali inawafidiaje pesa zao? maana taasisi hiyo kama iko kihalali na imesajiliwa ni wajibu itimize ilichokusudia au ishtakiwe na sio kufungia shughuli tuu wakati wengine wameshaumia
Makada wa CCMSafi hao ni Mafisadi. I hope watahamia Chadema na kupokelewa kwa shangwe
Majibu yako tu yanaonyesha huna usmart wowote!Acha upuuzi, mimi mwenyewe ni kijana tena very smart, haihitaji akili ya ziada kutambua frauds kama hawa
Jela unaushahidi wamemuibia nani? Watu wanapo anzisha kitu tunapaswa kuwasupport au km mawazo kuboresha tuwasaidie, ikiwemo serikali. Lkn ukiona unaponda ujue, una wivu a roho ya kwann. Kwa afrika nikawaida lkn sikishangaibraz?jawahi kushikiwa akili, ni siyo blind kabisa kuona wanachofanya jamaa, ni upuuzi hata baada ya miaka 5, hawataweza kutoa huduma wanayoitoa...kama unahusika nyumba yenu itakuwa jela moja kwa moja kwa utapeli wenu