Taasisi ya mikopo (PRIDE) mbioni kufilisika? Mamlaka zinazohusika ziingilie kati

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,486
2,332
Tangu kipindi cha uchaguzi mkuu taasisi hii ilianza kusuasua katika utoaji wa mikopo. Kuna wanachama walioomba mikopo toka mwezi wa nane hadi leo hawajapatiwa mikopo hali iliyopelekea wateja wengi kukosa imani na taasisi hii na karibu 60% wamejifuta uanachama.

Cha ajabu na cha kushangaza hata wale wanaojifuta bado wanasumbuliwa kupewa akiba zao, wengi wao wana miezi 2-3 baada ya kujifuta uanachama ila hawajapewa akiba zao kila siku imekuwa kesho kesho.

Tunaomba mamlaka zinazohusika ziingilie kati ili akiba fedha zetu zisidhurumiwe
 
Kwa nchi yetu ilipofikia kama tukiendelea kuwakomalia matajiri tunapo elekea siopazuri sikuzote tajiri hanuniwi. Wanauwezo wakuenda kufanya biashara hatanchi Jirani wakati huo sisi walala hoi tunaendelea kutaabika.
 
Kwa nchi yetu ilipofikia kama tukiendelea kuwakomalia matajiri tunapo elekea siopazuri sikuzote tajiri hanuniwi. Wanauwezo wakuenda kufanya biashara hatanchi Jirani wakati huo sisi walala hoi tunaendelea kutaabika.

Hivi PRIDE ni Chama,Asasi ya Kiraia au Kampuni.Pride haikopeshi wanachama ina kopesha wateja wake.Wanaohusika si Serikali ni wenye kampuni.Hivi Fresh ya Shamba na Scandnavia kampuni za usafirishaji za watu binafsi ziko wapi? Magufuri na hizi kazibania ?
 
Taasisi zote ambazo there targeted customer ni micro enterprenuers Predict tu zitakubwa na hii hali Ya mufilisi sbb Ya multiplier effects wafanyakaz wa serikali na taasisi ambao walikuwa ndo spenders wakubwa wame cut there spendin kwa kiwango kikubwa mno so sustainin Ya Micro Enterprenuers in some markets ilishakuwa ngumu
 
Hivi PRIDE ni Chama,Asasi ya Kiraia au Kampuni.Pride haikopeshi wanachama ina kopesha wateja wake.Wanaohusika si Serikali ni wenye kampuni.Hivi Fresh ya Shamba na Scandnavia kampuni za usafirishaji za watu binafsi ziko wapi? Magufuri na hizi kazibania ?
Mkuu pia ukumbuke huko kuna akiba zetu zikipotea inakuwaje?
 
Mkuu pia ukumbuke huko kuna akiba zetu zikipotea inakuwaje?
Ndugu yangu jihadhari wakati mwingine ujue mahali sahihi pa kuweka akiba zako.Wengi mkihamasishwa muweke akiba zenu katika SACCOS mnazozimiliki,kuzisimamia wenyewe hamtaki.Mnataka mahali wanaposimamia wengine matokeo ni hayo. Ninakushauri kuwa kama hudaiwi chochote na Pride waambie wakurudishie akiba zako,wakikuzungusha washtaki.Ungekopa ukashindwa kurejesha unajua hatua ambazo wangechukua,usisite kuwachukulia hatua ndipo Serikali itaingilia kupitia mlango wa mahakama.
 
Ndugu yangu jihadhari wakati mwingine ujue mahali sahihi pa kuweka akiba zako.Wengi mkihamasishwa muweke akiba zenu katika SACCOS mnazozimiliki,kuzisimamia wenyewe hamtaki.Mnataka mahali wanaposimamia wengine matokeo ni hayo. Ninakushauri kuwa kama hudaiwi chochote na Pride waambie wakurudishie akiba zako,wakikuzungusha washtaki.Ungekopa ukashindwa kurejesha unajua hatua ambazo wangechukua,usisite kuwachukulia hatua ndipo Serikali itaingilia kupitia mlango wa mahakama.

Huu ni ushauri kuntu kabisa, naona watu wengi wakishindwa kuwalipa hao Pride huwa wanawapora mali zao. Sasa na hao wanaodai chao walipwe. Hapa hakuna cha kulalamika hapa jukwaani ni kuchukua mkondo wa sheria tu pindi hadithi za hela unazodai zikianza.
 
Hivi PRIDE ni Chama,Asasi ya Kiraia au Kampuni.Pride haikopeshi wanachama ina kopesha wateja wake.Wanaohusika si Serikali ni wenye kampuni.Hivi Fresh ya Shamba na Scandnavia kampuni za usafirishaji za watu binafsi ziko wapi? Magufuri na hizi kazibania ?
Unaijuia vizuri historia ya kuanzishwa kwa PRIDE. Unawajua wana hisa wake?
 
NINI PRIDE ,,KIKO KIWANDA CHA VINYWAJI ,, NI BAHATI KWELI KIKISALIKIKA WITHIN 2 YEARS BILA KUFUNGWA TUVUTE SUBRA...
 
Huku Uganda ,Kenya na Rwanda Pride inaimalika vizuri hadi mashambani ofisi zinafunguliwa...umekuaje huko Tanganyika tena
 
Kwa nchi yetu ilipofikia kama tukiendelea kuwakomalia matajiri tunapo elekea siopazuri sikuzote tajiri hanuniwi. Wanauwezo wakuenda kufanya biashara hatanchi Jirani wakati huo sisi walala hoi tunaendelea kutaabika.
Kama walikua wanafanya biashara kinyume na sheria za nchi na waondoke tu hakuna namna.Kwani tajiri ni nani mbele ya Sheria?
 
Kazi ipo! Polenii sanaa watu wa mikopo asasi zote za fedha!!! Ndio mfumo tuliochagua au ulazimishwa kuchagua!!! Tutafanyaje sasa
 
Tanzania ingekuwa na chombo cha kuregulate micro finance kama Kenya wanayofanya. Madhara yake ni kuibuka kwa microfinance za kitapeli kila siku, hata zile zilizosajiliwa haziwaki wanachama akiba zao kwa wakati. Madhara yake hapo pride ikifa ndio basi Tena wanachama watapoteza Akiba zao coz hakuna taasisi ya kuwatetea
 
Back
Top Bottom