Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,486
- 2,332
Tangu kipindi cha uchaguzi mkuu taasisi hii ilianza kusuasua katika utoaji wa mikopo. Kuna wanachama walioomba mikopo toka mwezi wa nane hadi leo hawajapatiwa mikopo hali iliyopelekea wateja wengi kukosa imani na taasisi hii na karibu 60% wamejifuta uanachama.
Cha ajabu na cha kushangaza hata wale wanaojifuta bado wanasumbuliwa kupewa akiba zao, wengi wao wana miezi 2-3 baada ya kujifuta uanachama ila hawajapewa akiba zao kila siku imekuwa kesho kesho.
Tunaomba mamlaka zinazohusika ziingilie kati ili akiba fedha zetu zisidhurumiwe
Cha ajabu na cha kushangaza hata wale wanaojifuta bado wanasumbuliwa kupewa akiba zao, wengi wao wana miezi 2-3 baada ya kujifuta uanachama ila hawajapewa akiba zao kila siku imekuwa kesho kesho.
Tunaomba mamlaka zinazohusika ziingilie kati ili akiba fedha zetu zisidhurumiwe