frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
IPSOS sijui ni Taasisi ya nini Tanzania, ilifanya shindano la kutafuta watangazaji bora katika segments mbalimbali na vipindi vywa radio bora katika radio mbalimbali pia.
Sasa cha kunishangaza vipindi vyote cloud fm ni namba moja!!???, watangazaji wote wa radio ni namba moja!!??.
(Source: Cloud fm matangazo ya kila mara)
Baraza la Habari wapo kimya tuuu, kweli inawezekana hali hii ikawa ndio ukweli, tuna radio zaidi ya 50 tanzania zenye vipindi vingi sanaaa. shida nini??? hadi kudanganya.
Sasa cha kunishangaza vipindi vyote cloud fm ni namba moja!!???, watangazaji wote wa radio ni namba moja!!??.
(Source: Cloud fm matangazo ya kila mara)
Baraza la Habari wapo kimya tuuu, kweli inawezekana hali hii ikawa ndio ukweli, tuna radio zaidi ya 50 tanzania zenye vipindi vingi sanaaa. shida nini??? hadi kudanganya.