Taasisi ya Benjamin William Mkapa imeandaa mdahalo kuhusu Maisha ya Rais Mkapa

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,569
50,393
Screenshot_20210711-000741_1.jpg

Marais walioacha legacy huandaliwa midahalo. Lkn wale wenye legacy' za kubumba....NEVER!.

Wenye akili mshaelewa maudhui ya uzi huu.
 
Rais atawala miaka sita ila kawaiku wote waliotawala kumi kumi

ni kweli kawapiku.
aliwapiku kwenye idadi kubwa ya watu waliopotea na kuuwawa katika mazingira tatanishi.

aliwapiku kwa kufungia vyombo habari vilivyokuwa vinaandika habari za kumkosoa.

aliwapiku kwenye kuwanyanyasa viongozi wa vyama vya upinzani na kuwafungulia kesi za zisizo na kichwa wala miguu.

aliwapiku kwa kuunda task force iliyojikita katika ujangili wa kuwapora fedha baadhi ya wafanyabiashara na kuwafilisi.

aliwapiku kwenye ku-create vijana wawili makatili ambao ni makonda na sabaya.
 
Amsha Amsha za Magufuli zimeacha alama kubwa sana kwa watanzania.

Watanzania wamefahamu Sasa thamani ya Rasilimali zao pamoja na haki zao muhimu.

Pia wamejifunza uwajibikaji wa Kila mtu katika nafasi yake.

Kwa sasa sio rahisi Tena kudanganya wananchi wakakuelewa.
 
Kwenye neno kipenzi weka JAMBAZI.
Suala la uhakika kwamba jambazi jiwe aliteka Tanzania inajua na dunia inajua.

Antony Diallo kaongezea kwamba tulichagua mtu mwenye faili Milembe. Upo?
Baada ya kubanwa kulipa kodi ndo anajua kuwa rais alikuwa chizi,huo ni unafiki.hauwezi ukawatenganisha watanzania wazalendo na mapenzi ya kweli na jpm so huyu ni kipenzi chetu.
 
Back
Top Bottom