Mwana Ukoo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 252
- 422
Wakuu Moja ya mifumo imara ni huu wa Secretariat ya Ajira utumishi, Huu mfumo Utaleta Uimara mkubwa katika Taasisi za umma ambalo mwazo ilikuwa shamba la bibi yani ofisi unakuta imejaa ndugu tupu, Au watu wa ukanda fuĺani tu matokeo yake ufanisi hupungua sana na kufanya ofisi za umma kuwa kijiwe cha kupigia tu mana hakuna wa kumkemea mwezie watu wanapiga deal Sana kwa vile tu Chain inayozunguka yote mtu anaijua na pengine huyo mpiga dili ndo amefanya wao wakapata kazi hata kama wapo juu yake hawana cha kumfanya.
Nashauri taasisi ambazo ziko under performance zote zipelekewe watumishi kutoka utumishi waondolewa ile power ya kuajiri wao kama wao kuna taasisi kama Tanzania Revenue Authority TRA hii tayari ipo Utumishi japo ilichelewa Tanesco ivo hata Majeshi nayo kama Police yapelekewe watumishi kutokea portal yani polisi yeye atoe tu requirements kama urefu sijui mtu asiwe na Criminals records then utumishi ndo wamalize mchezo, Hakika matunda ya huu mfumo yataanza kuonekana Siku za usoni mana undugu maofisi unapungua na hata heshima inarudi mana watu hawajuani nani ni nani mana mtu katoka tu from nowhere na kuja kureport
Nimefanya kazi Kampuni za nje kwa kweli nimejifunza kuwa ni u smart wako tu ndio utakupa ajira hakuna cha mtoto wa mjomba wala mtoto wa baba mdogo
Nashauri taasisi ambazo ziko under performance zote zipelekewe watumishi kutoka utumishi waondolewa ile power ya kuajiri wao kama wao kuna taasisi kama Tanzania Revenue Authority TRA hii tayari ipo Utumishi japo ilichelewa Tanesco ivo hata Majeshi nayo kama Police yapelekewe watumishi kutokea portal yani polisi yeye atoe tu requirements kama urefu sijui mtu asiwe na Criminals records then utumishi ndo wamalize mchezo, Hakika matunda ya huu mfumo yataanza kuonekana Siku za usoni mana undugu maofisi unapungua na hata heshima inarudi mana watu hawajuani nani ni nani mana mtu katoka tu from nowhere na kuja kureport
Nimefanya kazi Kampuni za nje kwa kweli nimejifunza kuwa ni u smart wako tu ndio utakupa ajira hakuna cha mtoto wa mjomba wala mtoto wa baba mdogo