Corporatehustler
New Member
- May 11, 2018
- 3
- 0
Nani anafahamu ukweli au uhalisia kuhusu kampuni inayofanya forex trading inayojiita KNK Crypto forex ya kijana anaitwa anayejiita kamanda@knk na jina lake halisi ni Nobert Kayanda. Inasemekana kijana huyu yupo Mbeya.
Mwenye taarifa zaidi atufahamishe maana mhusika wa kampuni hatoi maelezo ya kina, ila anachoweza kusisitiza ni watu kumpa log in details za platform ya forex trading inayoitwa Metatrade4 (MT4) na yeye kufanya trading ya account baada ya mtu kudeposit kiasi cha pesa kwa promise ya kushare 50%/50% faida. Ila kila akiulizwa endapo itatokea loss inakuwaje, huwa hajibu swali hili.
Ana group la Telegram ambalo mtu pekee anayeweza kupost kitu ni yeye mwenyewe na amekuwa akipost screenshot kuonyesha faida anazopata na kuweka msisitizo wa watu kumpa account zao za forex MT4 afanye trading kwa masharti kiwango cha chini mtu kudeposit kwenye account ni $500.
Mwenye kumfahamu zaidi atupe maelezo au aliyewahi kufanya nae forex trading atupe maelezo.
Kitu kinacholeta mashaka hana ushirikiano mzuri anapoulizwa maswali ya msingi kuyatolea maelezo na wakati mwingine hapokei simu wala kujibu message zenye maswali ya msing.
Mwenye taarifa zaidi za huyu kijana wa Mbeya na kampuni yake atupe maelezo maana forex trading iko na scams nyingi sana.
Mwenye taarifa zaidi atufahamishe maana mhusika wa kampuni hatoi maelezo ya kina, ila anachoweza kusisitiza ni watu kumpa log in details za platform ya forex trading inayoitwa Metatrade4 (MT4) na yeye kufanya trading ya account baada ya mtu kudeposit kiasi cha pesa kwa promise ya kushare 50%/50% faida. Ila kila akiulizwa endapo itatokea loss inakuwaje, huwa hajibu swali hili.
Ana group la Telegram ambalo mtu pekee anayeweza kupost kitu ni yeye mwenyewe na amekuwa akipost screenshot kuonyesha faida anazopata na kuweka msisitizo wa watu kumpa account zao za forex MT4 afanye trading kwa masharti kiwango cha chini mtu kudeposit kwenye account ni $500.
Mwenye kumfahamu zaidi atupe maelezo au aliyewahi kufanya nae forex trading atupe maelezo.
Kitu kinacholeta mashaka hana ushirikiano mzuri anapoulizwa maswali ya msingi kuyatolea maelezo na wakati mwingine hapokei simu wala kujibu message zenye maswali ya msing.
Mwenye taarifa zaidi za huyu kijana wa Mbeya na kampuni yake atupe maelezo maana forex trading iko na scams nyingi sana.