Upo CDM kwa sababu ya flani yupo CDM, pole sana kwa kushindwa kujitambua.baada ya leo ndipo nitaamua kujindoa chadema au la
Ana cheo gani CHADEMA ameshakuwa sisimizi.Tunasubiri kwa hamu kusikia Tamko la mtu aliyeshika hatma ya CHADEMA.
Mkutano uko LIVE clouds Fm.
Matangazo live na clouds radio, walio majumbani wafungue radio ya watu.
Mkutano uko LIVE clouds Fm.
Matangazo live na clouds radio, walio majumbani wafungue radio ya watu.
Pole! ni kipi kimekusukuma kuandika hivi?Mbowe , mtei na slaa, mavi yanagonga chupi...
Teh teh teh teh halafu ndio mnataka kwenda magogoni labda ya Tengeru
Hujambo na karibu.katika mtiririko wa zitto kabwe na kitila mkumbo kwa vyombo vya habari.
Habari kufuatia muda si mrefu.
Karibu.
Updates""
Waandishi wa habari kutoka vituo mbalimbali, Wamekaa katika nafasi Muhimu, Ili kuchukua picha.