hawezi kujibu atajengewa sana kifua ,kumbuka kufanya hivyo ni kujimaliza!!
Nawewe Pia ni mhaini.
Mkuu najua unampenda sana Zitto kiasi cha kuweza kuwa nje ya control kabisa kuliko zitto abanwe ktk kona.
Well, naona umekubali kupotoka hapa:ZITTO KWA SIFA ALITAKA SEMA CHADEMA WALIMLAUMU KWA KUTOWATONYA ,KWA AKILI YAKE ANAPIGA POINT BIL AKUJUA HASARA KM KAWAID AYAKE KUTOKUWA RESPONSIBLE.KI UKWELI NI KWAMBA HAYO MAMABO ALIAYOKOMAA NAYO KUPITI AKAMATI YA BUNGE KWA CHAMA NDIYE ALIPASWA YAFUATILIA YAFANYWE.YEYE HAKUFANYA KWA VILE HAKAI OFFISINI.NA NDIO MAANA HAKUTEGEMEA KUWA MATOKE O YANGEKUWA TOFUATI.
kwanini sasa atake point kw akitu alichpaswa fanya.Na nyinyi wana CCM mnakuwa wepesi sana kupotezea ??? ili mpate faida.
Mbowe na chadema wanapaswa kuturidhisha juu ya
yaliyoandikwa kama madhaifu yake kwenye Mkakati wa mabadiliko 2013 ndani ya
taasisi...... atolee ufafanuzi hata kama
itamgharimu..
anapaswa atoe ufafanuzi wa dhaifu moja baada ya jingine ili kutudhihirishia umma kwamba waraka ule ni wa uchochezi na uhaini.
Mbowe na chadema wanapaswa kuturidhisha juu ya
yaliyoandikwa kama madhaifu yake kwenye Mkakati wa mabadiliko 2013 ndani ya
taasisi...... atolee ufafanuzi hata kama
itamgharimu..
anapaswa atoe ufafanuzi wa dhaifu moja baada ya jingine ili kutudhihirishia umma kwamba waraka ule ni wa uchochezi na uhaini.
kuwaadhibu watu wanaokuambia madhaifu yako ni uzuzu
"... Zitto ni mwanasiasa mlanghai..." - by ZeMarcopolo.
Hahahahahhahaha
Mkuu MuIsrael. Hapo umechanganya madesa. Muasisi wa siasa za kilaghai nchini ni Mtei. Mfuasi madhubuti wa siasa hizo ni Dr. Slaa...
Hatutamwamini kwa sababu CCM ina vipngozi wengi walio tayari kwa moyo mkunjufu kuwasaidia vijana wao mawazo ya kimaendeleo.