Aisee! Napita tu, hayo nayo maneno!Mwacheni Zitto,ni watanzania wangapi wanalala njaa?wamama wangapi wanalala wawili wawili mawording?Kila siku maralia inaua maelfu.CHADEMA hamna akili waoneni CCM sasa hivi wameamua kudeal from bottom kila siku wako vijijini huko wakijenga chama,nyie mmekalia Zittto Zitto,non sense