kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Kinachonisikitisha ni huu uamuzi wa Zitto kukaa na vyombo vya habari na kutaka kuuelezea Umma juu ya hiki kilichomtokea wakati tukitambua kuwa amepewa siku 14 ajieleze juu ya makosa yaliyomsababishia kuvuliwa uongozi, kwa hiki anachokifanya sidhani kama wiki ijayo itapita bila kuvuliwa na uanachama kabisa kwani anazidi kuongeza kosa ndani ya kosa.