Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana cheo gani Chadema ameshakuwa sisimizi.
Mungi yupo busy ukumbi wa Serena
Moja ya vitu ambavyo chadema hawatavisahau maishani mwao ni pamoja na hili la kumvua Zitto nafasi zake!
Poleni sana wote mliopo CDM kwa sababu yupo mnafiki Zitto, Rudisheni kadi na tunawatakia safari njema...hata siku zile tuliambiwa tusichague chama tuchague mtu.tukawachagua watu hatukuchagua ccm.leo mnataka tukipende chama.natusipende mtu.
Tutakuwa na zito daima na milele
Siyo Kigoma tu dada Arushaone, karibia kila mkoa wanachana bendera za NGO.
hata siku zile tuliambiwa tusichague chama tuchague mtu.tukawachagua watu hatukuchagua ccm.leo mnataka tukipende chama.natusipende mtu.
Tutakuwa na zito daima na milele
Hujui huyo jamaa ni mr. misifa one man show.Mkuu, kuna umuhimu gani kuwa ni Live?
sibaduki hapa nione huyo msaliti anasemaje
Bado yupo na Mwigulu, Nchimbi na Lukuvi anapewa mistari ya kutoka
usaliti wa zitto ni upi au kusema ukwelipoleni sana wote mliopo cdm kwa sababu yupo mnafiki zitto, rudisheni kadi na tunawatakia safari njema...