tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Kila siku Tanzania imekuwa nchi ya matamko toka pande zote za nchi na maajabu unakuta suala moja lakini linatolewa taarifa tofauti tofauti na watu tofauti tofauti wa ndani ya Serikali na nje ya Serikali.
Matokeo yako huku mitaani, sehemu za kazi,majumbani na hata vijiweni kumekuwa na mijadala ambayo hata sababu huioni.
Kwani taarifa za nchi hii zinatolewa na nani au kila mmoja unaweza kuitisha press comference na kutoa taarifa maana naona kila iitwayo leo watoa taarifa mnatuchanganya tu.
Sasa tumuamini nani jamani?
Matokeo yako huku mitaani, sehemu za kazi,majumbani na hata vijiweni kumekuwa na mijadala ambayo hata sababu huioni.
Kwani taarifa za nchi hii zinatolewa na nani au kila mmoja unaweza kuitisha press comference na kutoa taarifa maana naona kila iitwayo leo watoa taarifa mnatuchanganya tu.
Sasa tumuamini nani jamani?