Njoka Ereguu
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 821
- 335
Katika mawasilisho ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu inayoendelea hivi sasa, ameeleza kuwa taarifa za sensa ni siri na matumizi yake ni siri na kwa ajili ya maendeleo ya nchi tu na si kwa ajili ya dini fulani au asasi yoyote yenye nia tofauti na iliyokusudiwa.