Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Kwanza kitendo cha Zitto na Kitilla kuwakosa makamanda wa CHADEMA siku aliyofanya press conference na kuwakodi uvccm, na kitendo cha matamko yanayotolewa na wanaojibambikia vyeo ambavyo havipo chadema ni kufilisika kisera kwa Zitto Kabwe na CCM aliyokuwa anakiwakilisha kukihujumu CHADEMA.
Yaani sijaona mtu asiejitambua hapa jamvini kama wewe na yule mtoto wa nyerere wakufikia,na mtembeza sumu,ujana mnakuwa hivi mnatumiwa kama mipira ya kikubwa, mkizeeka mtakuwa wachawi,maana hamlali mkisikia jina la Zitto akili zinawaruka
Last edited by a moderator: