technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Alizaliwa mwaka 1921 huko mjini Musoma.
Ajaugua alilala vizuri tu Jana akiwa anacheka na watu waliokuwa naye karibu lakini kuamuka asubuhi amefariki.
Alikuwa mwanajeshi mstaafu
Mazishi yatafanyika nyumbani kwake Musoma .
Ameacha watoto 19 na wake wawili .
Wajukuu 56 na vitukuu 122.
Nipo ndani ya majonzi makubwa babu yangu ndiye alisababisha mafanikio yangu mpaka hapa nilipo kwa ushauri wake na kwa namna moja hama nyingine.
Nasikitika kutangaza kifo...
Ajaugua alilala vizuri tu Jana akiwa anacheka na watu waliokuwa naye karibu lakini kuamuka asubuhi amefariki.
Alikuwa mwanajeshi mstaafu
Mazishi yatafanyika nyumbani kwake Musoma .
Ameacha watoto 19 na wake wawili .
Wajukuu 56 na vitukuu 122.
Nipo ndani ya majonzi makubwa babu yangu ndiye alisababisha mafanikio yangu mpaka hapa nilipo kwa ushauri wake na kwa namna moja hama nyingine.
Nasikitika kutangaza kifo...