gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Tofautisha maoni binafsi na msimamo wa chama, Chadema siyo ccm ambayo wafuasi wake ni fikra mkumbo hawana fikra huruChadema imekosa uelekeo ...Mnyika anatoa tamko la kupinga ongezeko la bei ya umeme then Kafulila bila kujua Waziri wake kivuli na chama kina msimamo gani anatoa tamko la kuunga mkono bei kupanda ....nini kinaendelea Chadema ....kuna nidhamu kweli?