Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Mkuu, hawa chadema wanadhani serikali ya ccm ni ya kihuni kama wanavyofanya wao. Kila mtu anatoa tamko. Hawajui kuwa Rais anaagiza na si kutoa matamko. Tamko amtolee nani wakati yeye ndo topMbona alishatoa pole pamoja na kuagiza wanausalama wafanye kazi yao. Pia tulimsikia Mh. Lukuvi pale BUNGENI akiongea kwa niaba ya SERIKALI. Rais ni taasisi na siyo Mh. JK tu. Ndiyo maana hawa watendaji wengine wakiharibu, then huwa wanamchafua hadi Mh. Rais.