Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Wapendwa wana chit chat ni dhahiri kwamba wote tumekuwa mashuhuda wa kilichokuwa kikiendelea katika iliyokuwa ndoa ya loya Ruttashobolwa na Madame B huku kwa upande mwingine ikimuhusisha Chimbuvu. Kama ilivyo lengo kuu la tume ya Mahusiano na Ndoa hapa chit chat ni kuhakikisha kuwa members wanaendelea vizuri na kufurahia mahusiano yao, tume ilijitahidi kufanya jitihada za kutatua mgogoro ili ndoa iendelee kudumu lakini sote tumeshuhudia Madame B kushindwa kutoa ushirikiano.
Nawashukuru wadau wa kamati mbalimbali na members kwa ujumla ambao walifanya jitihada za kuikoa ndoa hiyo.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwatangazia wana chit chat kuwa baada ya jitihada za muda mrefu kuokoa uhusiano wake na Madame B ,Ndugu Ruttashobolwa ameniletea taarifa za kumpa talaka RASMI Madame B leo hii tar.01/12/2012 (siku ya kujitafakari TUKO WANGAPI).
Nikiwa kama mwenyekiti wa tume ya kuratibu mahusiano na ndoa, natangaza rasmi kuwa Madame B sio mke wa Ruttashobolwa tena.
Aidha ni vema nikawasilisha MASIKITIKO yangu juu ya kitendo cha ndugu Chimbuvu kuanzisha uzi kwa lengo la kunivunjia heshima na kwa kunituhumu kuwa namtaka Madame B huku akijua kuwa ni uzushi na kafanya hivyo kwa makusudi kabisa.ningependa kumshauri kuwa siku nyingine awe makini kabla hajafanya jambo.
Aidha ninapenda kutoa WITO kwa wana chit chat wote kufuata taratibu zilizowekwa kama tulivyokubaliana.
cc. KAMATI YA SCREENING
cc.KAMATI YA SHERIA
cc.KAMATI YA MAADILI
cc Madame B
Wenu Baba V
MWENYEKITI WA TUME YA KURATIBU MAHUSIANO CHIT CHAT 2012
Nawashukuru wadau wa kamati mbalimbali na members kwa ujumla ambao walifanya jitihada za kuikoa ndoa hiyo.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwatangazia wana chit chat kuwa baada ya jitihada za muda mrefu kuokoa uhusiano wake na Madame B ,Ndugu Ruttashobolwa ameniletea taarifa za kumpa talaka RASMI Madame B leo hii tar.01/12/2012 (siku ya kujitafakari TUKO WANGAPI).
Nikiwa kama mwenyekiti wa tume ya kuratibu mahusiano na ndoa, natangaza rasmi kuwa Madame B sio mke wa Ruttashobolwa tena.
Aidha ni vema nikawasilisha MASIKITIKO yangu juu ya kitendo cha ndugu Chimbuvu kuanzisha uzi kwa lengo la kunivunjia heshima na kwa kunituhumu kuwa namtaka Madame B huku akijua kuwa ni uzushi na kafanya hivyo kwa makusudi kabisa.ningependa kumshauri kuwa siku nyingine awe makini kabla hajafanya jambo.
Aidha ninapenda kutoa WITO kwa wana chit chat wote kufuata taratibu zilizowekwa kama tulivyokubaliana.
cc. KAMATI YA SCREENING
cc.KAMATI YA SHERIA
cc.KAMATI YA MAADILI
cc Madame B
Wenu Baba V
MWENYEKITI WA TUME YA KURATIBU MAHUSIANO CHIT CHAT 2012
Last edited by a moderator: