USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,892
- 22,649
Kutokana na muingiliano mkubwa uliopo Ni dhahiri kwamba Kuna uwezekano pia na Tanzania ikakumbwa na maambukizi ya virusi vya Corona. Swali hili nmejiuliza hasa kutokana na maswahibu yanayowakuta ndugu zetu huko China. Nimeshanga pia kwa nchi Kama China kufikia stage ya know watu kupanga foleni kununua face mask na disinfectants. Je yakitukuta tutajiweza?