Natumaini hamjambo wana JF naomba wahusika haswa Waziri wetu mpendwa wa Ujenzi Magufuli mtusaidie sisi watumiaji wa barabara ya Mbezi tank Bovu hadi Goba-Kimara.
Kuna bango la TANROADS limewekwa pale Bagamoyo Road kuwa barabara ya Goba-KImara itakarabatiwa lakini hadi sasa hakuna chochote kilichofanyika,mashimo ndo yamejaa,mvua ikinyesha hakufai usafiri unakuwa wa kero nk.
Jaman tusaidieni nasi ni walipa kodi kama wengine tumechoka.Barabara hii yaweza kuwa suluhisho la foleni zinazokera hapa jijini DSM!
Ipo pia barabara ya kutoka Makongo juu kupitia mto mbezi hadi Goba Mwisho ni barabara nzuri tu japo ni rafu ila tatizo lipo kwenye kuvuka mto mbezi hakuna daraja watu wanavuka kwa kudra za mwenyezi mungu kila siku magari yanakwama pale yani ni tabu tupu ndugu zanguni tusaidieni!!!!!
Kuna stor za kila aina kuhusu Ujenzi wa hili Daraja mara pesa zipo tayari,mara mkandarasi anatafutwa nk Mhe.Magufuli tunakuamini toa msimamo juu ya barabara hizi ili wananchi tuwe na amani!!!
Mhe.Mnyika fanya kweli kaka 2015 bado tunakuhitaji tatua hizi kero ukishirikiana na Magufuli na Manispaa husika! tunakuamini na tunakutegemea.
Shukrani!
Kuna bango la TANROADS limewekwa pale Bagamoyo Road kuwa barabara ya Goba-KImara itakarabatiwa lakini hadi sasa hakuna chochote kilichofanyika,mashimo ndo yamejaa,mvua ikinyesha hakufai usafiri unakuwa wa kero nk.
Jaman tusaidieni nasi ni walipa kodi kama wengine tumechoka.Barabara hii yaweza kuwa suluhisho la foleni zinazokera hapa jijini DSM!
Ipo pia barabara ya kutoka Makongo juu kupitia mto mbezi hadi Goba Mwisho ni barabara nzuri tu japo ni rafu ila tatizo lipo kwenye kuvuka mto mbezi hakuna daraja watu wanavuka kwa kudra za mwenyezi mungu kila siku magari yanakwama pale yani ni tabu tupu ndugu zanguni tusaidieni!!!!!
Kuna stor za kila aina kuhusu Ujenzi wa hili Daraja mara pesa zipo tayari,mara mkandarasi anatafutwa nk Mhe.Magufuli tunakuamini toa msimamo juu ya barabara hizi ili wananchi tuwe na amani!!!
Mhe.Mnyika fanya kweli kaka 2015 bado tunakuhitaji tatua hizi kero ukishirikiana na Magufuli na Manispaa husika! tunakuamini na tunakutegemea.
Shukrani!