Taarifa ya vigogo Kenya kupelekwa The Hague inatufundisha nini?

Facts1

JF-Expert Member
Dec 23, 2009
307
28
Vigogo sita wa serikali ya Kenya akiwamo Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Fedha wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta ni miongoni mwa watuhumiwa sita waliotajwa kwenye mahakama ya kimataifa The Hague kuwa walihusika katika kupanga vurugu zilizotokea baada ya uchaguzi mkuu nchini humo mwaka 2007.

Yumo pia Waziri wa Viwanda wa Kenya, Henry Kosgey
Waziri wa Elimu aliyesimamishwa William Ruto.
Wengine ni Mwandishi wa habari ambaye pia ni Mkuu wa uendeshaji wa Radio Kass FM, Joshua Arap Sang,
Katibu wa Baraza la Mawaziri, Francis Kirimi Muthaura,
na Mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi la nchi hiyo, Mohammed Hussein Ali.

Viongozi wetu wakiwemo wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wanajifunza kitu gani kutokana na taarifa hii au wanafikiri haiwezi kutokea Tanzania?
 
15 December 2010 Last updated at 15:01 GMT


Kenya election violence suspects

The International Criminal Court prosecutor has released the names of six suspects he accuses of organising the violence following the disputed 2007 elections. Raila Odinga says supporters of President Mwai Kibaki cheated him of victory, leading to protests and ethnic clashes across the country.
Supporters of Raila Odinga

Name Position Profile Charges William Ruto
Minister of Higher Education
One of the most influential people in the Rift Valley, where the worst violence took place. Suspended as minister in October after being accused of corruption over land deal. Flew to The Hague in November to try to clear his name. Member of the Kalenjin community.
Accused of planning even before the election to set up militias to attack supporters of President Kibaki. Alleged to have urged his supporters to uproot the weeds from the fields - referring to communities in the Rift Valley seen as outsiders.
Henry Kosgey
Minister of Industrialisation
Chairman of Odinga's Orange Democratic Movement. Recently denied charges of corruption over importing second-hand cars. Member of the Kalenjin community.
Faces same charges to those brought against William Ruto of planning to set up militias to attack Kibaki supporters. Worst atrocity was the burning of a church near Eldoret where ethnic Kikuyus were sheltering.
Joshua Sang
Reporter and executive of Kass FM
Hosted morning shows on a Kalenjin-language radio station during the post-election violence in 2007/2008.
Accused of planning attacks, along with Kosgey and Ruto, as well as whipping up ethnic hatred on the airwaves.

Supporters of Mwai Kibaki

Name Position Profile Charges Francis Muthaura
Head of Kenyan Civil Service,
Cabinet Secretary
A right-hand man of President Mwai Kibaki and seen as one of the most powerful unelected figures in the country. A former Kenyan ambassador at the United Nations and the European Union. From the Meru community, which is closely linked to President Kibaki's Kikuyu group.
Accused of developing a plan with Kenyatta and Ali to take revenge for attacks on Kikuyus and keep President Kibaki in power. Muthaura allegedly met Mungiki leaders and ordered the police to let Mungiki members through their road blocks while using excessive force against supporters of Raila Odinga.
Uhuru Kenyatta
Deputy prime minister and finance minister
The son of Kenya's founding president. Lost 2002 elections to Mwai Kibaki but backed him in 2007. His name means freedom in East Africa's Swahili language. Like President Kibaki, a member of Kenya's Kikuyu community - the country's largest.
Faces similar charges to Muthaura and Ali of developing a plan to take revenge for attacks on Kikuyus and keep President Kibaki in power. Kenyatta was allegedly the focal point between the government and the feared Kikuyu Mungiki sect, which was sent into the Rift Valley, setting up road blocks and going house-to-house, killing some 150 people accused of supporting Raila Odinga.
Hussein Ali
Police chief during violence, now head of Postal Corporation
Came to the police from Kenya's Air Force. Made his name for cracking down on Nairobi's Mungiki sect. From Kenya's ethnic Somali community, which was not directly linked to the violence.

Faces similar charges to Muthaura and Kenyatta of developing a plan to take revenge for attacks on Kikuyus and keep President Kibaki in power. Allegedly gave "shoot to kill" order to police after instruction from Muthaura. ICC says at least 100 Odinga supporters killed after indiscriminate police shooting.

Source: BBC News - Kenya election violence suspects
 
Kenya wasingekutwa na hii kadhia kama wangetengeneza mahakama/baraza kwa ajili ya maridhiano hapo mwanzo..
Haya mambo kuyachukulia kisiasasiasa ndio inawagharimu baadhi yao..
Ila kumtuhumu mkuu wa utumishi si ndio kumtuhumu Kibaki kwa mlango wa nyuma?
 
Inatufundisha kua haki hua haishindwi kamwe labda tu inaweza kucheleweshwa. We subiri kwa TZ iko siku mambo yatakua ya ajabu hapa!
 
Back
Top Bottom