Serikali ya awamu tano kupitia kauli mbiu yake ya "Hapa kazi tu" inaendelea ya ujenzi wa miundombinu ikiwemo ya reli, viwanja vya ndege na maji.
Hii ni taarifa fupi ya Shirika la Reli Tanzania TRC kuhusiana Ujenzi wa Reli ya kisasa ya Standard Standard Gauge.
Hii ni taarifa fupi ya Shirika la Reli Tanzania TRC kuhusiana Ujenzi wa Reli ya kisasa ya Standard Standard Gauge.