Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kuna Video Ikimuonesha Mkuu wa Mkoa wa Iringa Rc Hapi Akihoji Tukio La kuzindua Sera za Chama na hususisha Viongozi wetu wa kutokuoneka Ukerewe Kwenye Ajali Ya MV Nyerere
na Akisema ipo siku ccm Iringa mjini inachukua halmashauri na jimbo
Tunapenda Kumwambia Mkuu huyu Wa Mkoa wa Iringa Moja kuwa Kabla ya kuuliza Viongozi wa Chadema Amuulize Mwenyekiti wake Wa Ccm taifa Pamoja na msiba mzito Kwanini hatukumuona Ukerewe kipindi ambacho kama taifa liliondokewa na watanzania wengi kwa ajali
Pili Mkuu wa mkoa tunapenda kumwambia Kuwa Chadema Tumesikitishwa sana Matukio mbalimbali ya kuwapoteza Watanzania kwa Ajali Za Majini,Kutokana Na chama chake kutokuwa na sera Madhubuti na imara juu ya usafiri wa Majini
Chama makini na Viongozi Makini hawaishii Kuhuzunika ila wanachukua hatua kwa kutunga Sera thabiti zitakazo toa majibu Ya changamoto ya Ajili za Usafiri Wa Majini
Na Ndo Maana Chadema tulifanya uziduzi wa sera ili kuwapa fursa wananchi kujua sera zetu juu ya mambo mbalimbali yanayorikabili taifa
Na Kupitia Sera za Chama Toleo 2018 Chadema Tumepambanua namna tutakavyoboresha usafiri wa Majini Kutoka na changamoto Ya usafiri wa Maji nchini kama inavyosomeka
Chadema itapanua na kuboresha uwezo wa bandari zetu zilizopo ili kukidhi Mahitaji yanayotokana na ukuaji wa biashara na kuongezeka kwa mizigo pamoja na meli za abiria,hii itajumuisha kuendeleza na kuboresha Mfumo wa Usafiri wa Majini wenye ufanisi.
Chadema itahakikisha kuwa inajenga na kuboresha bandari kwa ajili ya mashua za watu binafsi
Chadema itahimiza ushiriki wa Sekta binafsi kwa kuyavutia Mashirika makubwa ya meli kuja kuwekeza Nchini,Pia Chadema Itaboresha na kuendeleza ViVuko vyote kwa ajili ya Kuwaunganisha Wananchi
Pili Mkuu wa Mkoa Amekuja Iringa Amekuwa akikaririwa Sehemu mbalimbali Akisema amekuja Kusafisha iringa,Mara Atahakikisha halmshauri na jimbo 2020 Vinaenda CCM
Tunapenda Kumuuliza Mkuu wa Mkoa hayo ndo majukumu yake yaliyoanishwa na *Sheria ya Tawala za mikoa Na 19 ya Mwaka 1997 kifungu cha 5(1,2,3)*????
Ipi Tofauti yake yeye Kama mkuu wa Mkoa Na Katibu wa ccm mkoa au Mwenyekiti wa ccm Mkoa?? Au ndo Uthibitisho kuwa Viongozi wa CCM mkoa wa Iringa hawana Uwezo wala Ujasiri Wa Kukisemea chama chao??
Tunapenda Kumkumbusha Mkuu wa Mkoa Kuwa Mbunge wa Iringa Mjini Peter simon Msigwa Alichanguliwa na Wananchi na Halmashauri hii Ipo Chadema kwa Ridhaa ya Wananchi na Sio Watakwa ya Mtu binafsi
Kwa Mwenendo Wa Mkuu wa Mkoa kuwaandamana Viongozi wa kuchaguliwa na Wananchi Kupitia CHADEMA na Uthibitisho wa Msemo Usemao
Simple minded politicians think of next election, but great leaders think of next generations.
Wanasiasa wenye fikra finyu huwazia uchaguzi ujao, lakini viongozi bora hufikiria mustakabali wa vizazi vijavyo
Ni kwa jinsi hii, vyama makini na vyenye uongozi bora vitaendelea kujipambanua kwa siasa za sera zaidi, huku vyama uchwara vikijikita kwenye siasa za propaganda, fitina, chuki, ubaguzi na matumizi ya mabavu dhidi ya wapinzani wao.
Jackson Mnyawami
Katibu CHADEMA
Mkoa Wa Iringa
na Akisema ipo siku ccm Iringa mjini inachukua halmashauri na jimbo
Tunapenda Kumwambia Mkuu huyu Wa Mkoa wa Iringa Moja kuwa Kabla ya kuuliza Viongozi wa Chadema Amuulize Mwenyekiti wake Wa Ccm taifa Pamoja na msiba mzito Kwanini hatukumuona Ukerewe kipindi ambacho kama taifa liliondokewa na watanzania wengi kwa ajali
Pili Mkuu wa mkoa tunapenda kumwambia Kuwa Chadema Tumesikitishwa sana Matukio mbalimbali ya kuwapoteza Watanzania kwa Ajali Za Majini,Kutokana Na chama chake kutokuwa na sera Madhubuti na imara juu ya usafiri wa Majini
Chama makini na Viongozi Makini hawaishii Kuhuzunika ila wanachukua hatua kwa kutunga Sera thabiti zitakazo toa majibu Ya changamoto ya Ajili za Usafiri Wa Majini
Na Ndo Maana Chadema tulifanya uziduzi wa sera ili kuwapa fursa wananchi kujua sera zetu juu ya mambo mbalimbali yanayorikabili taifa
Na Kupitia Sera za Chama Toleo 2018 Chadema Tumepambanua namna tutakavyoboresha usafiri wa Majini Kutoka na changamoto Ya usafiri wa Maji nchini kama inavyosomeka
Chadema itapanua na kuboresha uwezo wa bandari zetu zilizopo ili kukidhi Mahitaji yanayotokana na ukuaji wa biashara na kuongezeka kwa mizigo pamoja na meli za abiria,hii itajumuisha kuendeleza na kuboresha Mfumo wa Usafiri wa Majini wenye ufanisi.
Chadema itahakikisha kuwa inajenga na kuboresha bandari kwa ajili ya mashua za watu binafsi
Chadema itahimiza ushiriki wa Sekta binafsi kwa kuyavutia Mashirika makubwa ya meli kuja kuwekeza Nchini,Pia Chadema Itaboresha na kuendeleza ViVuko vyote kwa ajili ya Kuwaunganisha Wananchi
Pili Mkuu wa Mkoa Amekuja Iringa Amekuwa akikaririwa Sehemu mbalimbali Akisema amekuja Kusafisha iringa,Mara Atahakikisha halmshauri na jimbo 2020 Vinaenda CCM
Tunapenda Kumuuliza Mkuu wa Mkoa hayo ndo majukumu yake yaliyoanishwa na *Sheria ya Tawala za mikoa Na 19 ya Mwaka 1997 kifungu cha 5(1,2,3)*????
Ipi Tofauti yake yeye Kama mkuu wa Mkoa Na Katibu wa ccm mkoa au Mwenyekiti wa ccm Mkoa?? Au ndo Uthibitisho kuwa Viongozi wa CCM mkoa wa Iringa hawana Uwezo wala Ujasiri Wa Kukisemea chama chao??
Tunapenda Kumkumbusha Mkuu wa Mkoa Kuwa Mbunge wa Iringa Mjini Peter simon Msigwa Alichanguliwa na Wananchi na Halmashauri hii Ipo Chadema kwa Ridhaa ya Wananchi na Sio Watakwa ya Mtu binafsi
Kwa Mwenendo Wa Mkuu wa Mkoa kuwaandamana Viongozi wa kuchaguliwa na Wananchi Kupitia CHADEMA na Uthibitisho wa Msemo Usemao
Simple minded politicians think of next election, but great leaders think of next generations.
Wanasiasa wenye fikra finyu huwazia uchaguzi ujao, lakini viongozi bora hufikiria mustakabali wa vizazi vijavyo
Ni kwa jinsi hii, vyama makini na vyenye uongozi bora vitaendelea kujipambanua kwa siasa za sera zaidi, huku vyama uchwara vikijikita kwenye siasa za propaganda, fitina, chuki, ubaguzi na matumizi ya mabavu dhidi ya wapinzani wao.
Jackson Mnyawami
Katibu CHADEMA
Mkoa Wa Iringa