Taarifa ya ufafanuzi kwa wakazi wa mkoa wa Iringa juu ya kauli ya mkuu wa mkoa wa Iringa.

Labda nikusaidie kujibu kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa aliwakilishwa na watendaji wengine kama Katibu mkuu na katibu mwenezi. Halafu CCM si mtu bali ni watu, hivyo kutokwenda kwa mwenyekiti hakumaanishi kuwa CCM haijaenda. CCM si chama cha mtu mmoja hadi useme asipotokea huyo mtu basi CCM haipo. Halafu tambua pia katika tukio lile, Mwenyekiti wa CCM hakusimama kama chama, bali alisimama kama serikali. Na serikali iliwakilishwa na Waziri mkuu.
Ma Opless utawapata tu ccm
 
Mkuu, watanzania wote tumefiwa kwa tukio lile. Ndiyo maana viongozi wetu wa kitaifa walikuwepo kule. Hebu acheni ujinga wenu wa kuingiza uvyama hata kwenye masuala ya kitaifa. CCM na CHADEMA ni nothing kwa utaifa wetu.
Siyo wewe uliyesema Chadema imewakilishwa na Mbunge wa Ukerewe?
 
Kwahiyo nani alitakiwa afariji?

..Raisi alitakiwa afariji.

..kwa maoni yangu Raisi hakutakiwa kutuma wawakilishi.

..nimeshuhudia kwenye nchi za wenzetu, misiba midogo kuliko huu wa kwetu, lakini Maraisi wao hawakutuma wawakilishi bali walihudhuria wenyewe.

..hata kwa hapa Tz sina kumbukumbu ya tukio ambalo liliombolezwa KITAIFA halafu Raisi asishiriki ktk msiba au tukio hilo.
 
Wakuu wa mikoa na wilaya nchi hii hiyo ndio kazi kubwa wamepewa na bosi wao.
Na huo ndio ujinga wa bosi wao .. Wakijenga chama wanasema wanajenga nchi... Wapuuzi kweli hawa.
 
Siyo wewe uliyesema Chadema imewakilishwa na Mbunge wa Ukerewe?
Wewe si mzima. Nakwambia hoja za uchama kwenye mambo ya kitaifa ni upuuzi mkubwa. Huelewi nini hapo? Acha upofu wa kivyma unaokuziba hata kuona hoja za maana. Bure kabisa!
 
Hawakawii kuzi copy na kuzipaste fasta..hasa hizi zinazohusu miundombinu; kilimo; elimu na viwanda!!
 
Labda nikusaidie kujibu kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa aliwakilishwa na watendaji wengine kama Katibu mkuu na katibu mwenezi. Halafu CCM si mtu bali ni watu, hivyo kutokwenda kwa mwenyekiti hakumaanishi kuwa CCM haijaenda. CCM si chama cha mtu mmoja hadi useme asipotokea huyo mtu basi CCM haipo. Halafu tambua pia katika tukio lile, Mwenyekiti wa CCM hakusimama kama chama, bali alisimama kama serikali. Na serikali iliwakilishwa na Waziri mkuu.
Kwa hiyo chama ndio serikali?
 
Chadema alikuwepo mbunge na viongozi wa kanda. Tofauti ni nini? Halafu ujue kisiasa na ki nchi yaani kimataifa aliyefiwani rais siyo Mbowe. Rais ndiye baba wa taifa na mfariji mkuu. Ndiyo maana hata salam za pole kutoka nje ya nchi anatumiwa rais siyo viongozi wa upinzani. Sasa tupe jibu rais alikuwa anafanya nini Dsm wakati watoto wake kwa mamia wameangamia ziwani? Hapo nafasi ya baba ikoje? Kwanini awakilishwe? Alikuwa nje ya nchi au alikuwa anaumwa? Je ni halali kumtuma baba mdogo wakati baba mzazi upo na unaonekana eti umetoka kanisani kisha unaenda kunywa chai na traffic! Acheni unafiki wa kutetea hata vilivyo wazi.

Wakati wa tetemeko Kagera rais hakwenda kama kawaida yake. Mbowe na Lowassa walienda. Unajua kilichowatokea? Wakati wa ajali ya wanafunzi 32 Arusha hakwenda as usual. Viongozi wa upinzani wakiwemo wa CHADEMA na wa dini walikwenda kuhani. Unajua kikichowatokea? Walirudi nyumbani wakitokea Lopango! Teteeni vingine siyo hilo mlipaswa kuwa hata na aibu kutetea!
Mkuu haya mapiga propaganda ya Lumumba wanazidiwa Helena hata na mtoto wa darasa la saba,badala ya kujibu hoja yenyewe yanakimbilia kuongelea vitu visivyo kwenye hoja hukimbilia kutajataja watu na vitu visivyo husika kwenye hoja. Utasikia oooh! Mbowe,Lowasa ,Chadema mara sijui ufisadi sijui mitihani yao shuleni walikuwa wanafanyiwa.
 
Mkuu haya mapiga propaganda ya Lumumba wanazidiwa Helena hata na mtoto wa darasa la saba,badala ya kujibu hoja yenyewe yanakimbilia kuongelea vitu visivyo kwenye hoja hukimbilia kutajataja watu na vitu visivyo husika kwenye hoja. Utasikia oooh! Mbowe,Lowasa ,Chadema mara sijui ufisadi sijui mitihani yao shuleni walikuwa wanafanyiwa.
Helena = hoja
 
Msigwa amesha sema hakuna mtu anayeweza kumtoa pale kwenye jimbo la Iringa mjini amesha jiwekea mizizi. Kwa hiyo Hapi asihangaike sana
 
Huyo mnyawami sio msemaji wa Chadema angewaachia wasemaji wa Chama .Hilo tamko lake Lina idhini ya kikao chochote cha chadema?
 
Head of state hawezi kukosekana kwenye tukio kubwa kama hilo, do not be silly!
Labda nikusaidie kujibu kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa aliwakilishwa na watendaji wengine kama Katibu mkuu na katibu mwenezi. Halafu CCM si mtu bali ni watu, hivyo kutokwenda kwa mwenyekiti hakumaanishi kuwa CCM haijaenda. CCM si chama cha mtu mmoja hadi useme asipotokea huyo mtu basi CCM haipo. Halafu tambua pia katika tukio lile, Mwenyekiti wa CCM hakusimama kama chama, bali alisimama kama serikali. Na serikali iliwakilishwa na Waziri mkuu.
 
Chadema alikuwepo mbunge na viongozi wa kanda. Tofauti ni nini? Halafu ujue kisiasa na ki nchi yaani kimataifa aliyefiwani rais siyo Mbowe. Rais ndiye baba wa taifa na mfariji mkuu. Ndiyo maana hata salam za pole kutoka nje ya nchi anatumiwa rais siyo viongozi wa upinzani. Sasa tupe jibu rais alikuwa anafanya nini Dsm wakati watoto wake kwa mamia wameangamia ziwani? Hapo nafasi ya baba ikoje? Kwanini awakilishwe? Alikuwa nje ya nchi au alikuwa anaumwa? Je ni halali kumtuma baba mdogo wakati baba mzazi upo na unaonekana eti umetoka kanisani kisha unaenda kunywa chai na traffic! Acheni unafiki wa kutetea hata vilivyo wazi.

Wakati wa tetemeko Kagera rais hakwenda kama kawaida yake. Mbowe na Lowassa walienda. Unajua kilichowatokea? Wakati wa ajali ya wanafunzi 32 Arusha hakwenda as usual. Viongozi wa upinzani wakiwemo wa CHADEMA na wa dini walikwenda kuhani. Unajua kikichowatokea? Walirudi nyumbani wakitokea Lopango! Teteeni vingine siyo hilo mlipaswa kuwa hata na aibu kutetea!
Hahaha! baba yupo nyumbani. Siku za msiba anakuwa bize kusafisha chumba, msiba ukiisha anasafisha nyumba....Usishangae kusikia raisi hakudhuria misiba sababu alikiwa nje ya nchi kutafuta maendeo
 
Back
Top Bottom