mpiga domo
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 852
- 1,502
Habari wanabodi,
Hii ni taarifa ilipo kwenye website ya SSRA kuhusu fao la kujitoa.
Hii ni taarifa ilipo kwenye website ya SSRA kuhusu fao la kujitoa.
Sijaelewa,mbona sijaona kitu cha kuelewek
Kama kawaida kunapokuwa na jambo lenye utata hata kauli za taasisi za serikali huwa zina utata alafu mwisho wa siku zinakuja kutolewa ufafanuzi kwamba nilinukuliwa vibaya. Hapo mtu mwingine akisoma ataelewa "fao la kujitoa limeondolewa" alafu mwingine yaani hata mie nimeelewa kwamba "kwa sasa fao la kujitoa liendelee wakati taratibu za marekebisho ya sheria ukiendelea".Ndio nini hii sasa..,, dah nchi ngumu hii.
SanaNdio nini hii sasa..,, dah nchi ngumu hii.