mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,834
- 106,034
Polepole nilikuwa namuona mtu wa maana kumbe..........
Inategemea kama kuna kiki itapatikana, maana sikuona kwa Nyalandu alivyofanya kwa wale wanafunzi wa Lucky VicentHahahaha kumbe mwanachama akitoa mchango inatolewa taarifa ya chama kumpongeza.
Somebody is trying to make a joke, please laugh
Sijui kwa nini Polepole amekosa busara kiasi hiki
Hata wale wa Kagera waliopatwa na tetemeko?Habari nzuri
Sisi sote ni binadamu.
Huyu mwanachama amekana hayo wanayomsingizia. Hata hivyo kama wanataka tuamini wanavyotaka wakumbuke maneno ya mwenyekiti wao Lema alipokuwa kisongo