Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Mzee Mwana Kijiji
Mimi naishi mikoa ya pembezoni lakini kila jumanne asubuhi kazi ya kwanza ni kupokea cheche kutawanya kwa wateja wangu wapatao 13. Hao nao wana wateja wao kadhaa. Niliamua kuona kama kinasomwa, nikapokea na kuchelewa kutawanya hadi alhamisi. Nilisumbuliwa kwa simu siku nzima kuombwa nifuatilie. Wacha nijizolee sifa kuwa mimi ndiye mtengenezaji wa Cheche. Nayasema haya kukupongeza.
Ni Wako Bendera anayefuata Upepo.
Mimi naishi mikoa ya pembezoni lakini kila jumanne asubuhi kazi ya kwanza ni kupokea cheche kutawanya kwa wateja wangu wapatao 13. Hao nao wana wateja wao kadhaa. Niliamua kuona kama kinasomwa, nikapokea na kuchelewa kutawanya hadi alhamisi. Nilisumbuliwa kwa simu siku nzima kuombwa nifuatilie. Wacha nijizolee sifa kuwa mimi ndiye mtengenezaji wa Cheche. Nayasema haya kukupongeza.
Ni Wako Bendera anayefuata Upepo.