Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,977
- 95,297
Ahasante sana. Ubarikiwe sana!ASANTE KWA KUSHUKURU.Lakini kumbuka kanuni hii kuwa UKITOA NDIPO UNAPOKEA.Ninamaanisha kuwa ule Upendo wako Unaoonyesha/Kutoa Kwa watu ndio na wewe Mungu anakurudishia kwa namna aijuayo YEYE.Zidi kubarikiwa na amani ya Bwana iwe nawe.1THESA 4:13-18.
Usiongeze wala kupunguza mamushka, utaharibu.siongezi wala kupunguza!!!
Shukrani jikakaduh! pole sana jibaba.
Amina. Aleluya!Pole X-Pin. Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la bwana lihimidiwe!