Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi akili za kifukara na kimasikini za Laana ndo zinairudisha nchi hii miaka ya 1947Safi sana...enzi hizo zilikua zinapgwa tu na wajanja
Hapana mkuu nafikiri ni vizuri tukiyadhibiti madini yetu na tuwe na soko la madini hapa hapa nchini(Tanzania minerals trade centre)Hizi akili za kifukara na kimasikini za Laana ndo zinairudisha nchi hii miaka ya 1947
yalikosa wanunuzi?Ikibuma hiyo Tar 18 kununulika nawashauri serikali iwachie mabroker wao wawauzie madini hayo....watayauza kama upepo
Ova
Buyer mkubwa wa tz ni mhindi huko jaipur,wao nao wanauza ulaya ....hiyo ndiyo formula ya biashara ya tztatizo yanauzwa bei mbaya sana labda wanunuzi kutoka ulaya ndio wayanunue
Hapana mkuu nafikiri ni vizuri tukiyadhibiti madini yetu na tuwe na soko la madini hapa hapa nchini(Tanzania minerals trade centre)
Hujui kilichokua kinaendelea Tanzanite one tulia wewe....STAMICO ilikua imepewa share kiini macho tu ila waliokua wapgaji wanajulikanaHizi akili za kifukara na kimasikini za Laana ndo zinairudisha nchi hii miaka ya 1947
STAMICO walipewa mgodi wa TULAWAKA wauendeshe vipi mbona wameshindwa?Hujui kilichokua kinaendelea Tanzanite one tulia wewe....STAMICO ilikua imepewa share kiini macho tu ila waliokua wapgaji wanajulikana
STAMICO walipewa mgodi wa TULAWAKA wauendeshe vipi mbona wameshindwa?