Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,123
- 39,334
Kama madini yaliisha mbona walilalamika kuwa gharama ya kuzalisha ounce ya dhahabu ilikua kubwa kwao kuliko bei ya soko? Nani kakwambia waluachiwa mashimo? Walikosa akili wakaenda endesha mashimo tupu?Walipewa mashimo si mgodi madini yalishaisha
Ndo tunarejea kule kule kwamba nyie ni mazalia ya Laana!! Zaidi ya kula kunya na kuzaliana hakuna mnaloweza