Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
- Thread starter
- #21
Najua umekunywa mchuzi wa bendera ya ccm lakini bado hujachelewa kwa sababu tunaweza kukufumbua macho utaelewa ni kiasi gani ccm wanakumaliza ukiwa haiUnaota huku unatembea Mangi ile aibu ya juzi sasa pale Reading unaipata mara tatu hapa sio Rombo Mashati Mangi Chilisosi.....pale simliwapata wale kumi ambao wote ni kutoka kulee kwetu kaskazin sasa Reading hata hao WAKASKAZIN huwapati peleka njaa yako huku sio kama kule
Na tafadhali uweke na picha ili u share hiyo aibu na wenzako wa hapa JF