Taarifa ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania kuhusu tukio la ndege ya Ethiopia

COARTEM

JF-Expert Member
Nov 26, 2013
3,596
3,639
530005034.png
616464405.png
 
Duh rubani alikuwa ndio mara yake ya kwanza kutua KIA au kulikuwa na muingiliano wa mawasiliano?.,sipati jibu....
 
mmhh!!!Huyo mwongoza ndege hapo KIA au hapo ofisini KIA hakuna kiona mbali kujua kama ndege ipo karibu au laaaa????
kama hakuna kwa nini ??Je kama kipo huo sio uzembe?kama hakuna si swala la muongozaji bali ni la wasimamizi yaani management au mkurgenzi wa uwanja wa ndege.kama kipo huyo muongozaji anapaswa kuchukuliwa hatua haraka.

Pia kwanini hapo kia wamechelewa kutoa ndege mbovu mapema kwani hawajui kuwa kuna ndege itakuja kutua ina mana hawana ratiba ya kujua zinazotua na zinzitarajia kuondoka.

Pia huyo rubani mpaka anatua Arusha na hali anaambiwa kuna ndege ina matatizo uwanja wa kia na kwanini atue hapo Arusha wakati mazingira anayopewa katika mawasiliano na anayoyaona hayapo sawa ???au ndo wakiwa hewani wanakuwa hawaoni chini mm cjui labda wanaojua wataelza hapa,ingawa rubani hana lawama sana .

Ushauri wangu serikali iwawajibishe wahusika wote juu ya swala hili wa uwanja wa ndege wa kia na pia kwa taatizo hili iwe ni changamoto kwa serikali juu ya swala zima la miundombinuTustegemee kiwanja kiomja au viwili au vitatu ni muhimu kuwa na vingine zaidi kama wa Arusha sio wa kuwa hivyo ni jiji kubwa.ni sawa na dar tujiandae kujenga kingine kikubwa zaid maeneo ya mkoa wa pwani
 
Du hapo kuna shida, yawezekana rubani si mzoefu wa eneo, Maana ukiuona uwanja wa KIA ni tofauti kabisa na Arusha. Hapo Mungu kasimamia maana kama kungekuwa na ndege inaruka na yeye rubani hana mawasiliano na muongozaji wa Arusha ingekuwaje? Nijuavyo rubani akikosa mawasiliano na muongozaji wa kiwanja hawezi kutua ataondoka sehemu nyingine yenye mawasiliano. Au watueleze kulikuwa na shida ya gafla kwenye ndege hiyo!
 
Kutua kwa macho (visual approach!)!!
Hivi ingekuwa ni usiku bila ya kuona namba 27, angetua wapi?
 
Du hapo kuna shida, yawezekana rubani si mzoefu wa eneo, Maana ukiuona uwanja wa KIA ni tofauti kabisa na Arusha. Hapo Mungu kasimamia maana kama kungekuwa na ndege inaruka na yeye rubani hana mawasiliano na muongozaji wa Arusha ingekuwaje? Nijuavyo rubani akikosa mawasiliano na muongozaji wa kiwanja hawezi kutua ataondoka sehemu nyingine yenye mawasiliano. Au watueleze kulikuwa na shida ya gafla kwenye ndege hiyo!

Hapa naona kuna mchezo mchafu ulichezwa na Nairobi maana yasemekana katika miaka ya 1978/79 wakati wa vita ya Tz na Ug kuna ndege ya kivita toka Libya ilikuwa inaelekea Entebe kupitia Nrb wao wakafanya vitu vyao ikajikuta inaomba clearence KIA
 
Barabara namba 27 KIA, na Barabara namba 27 Arusha? Kwani namba ziliisha?

Runway ya viwanja vya ndege ni by angle. Kwahiyo vyote angle yake ni 27. Unaweza kwenda Marekani ukakuta kiwanja kingine kina angle 27 au hata viwanja 20 vina 27' angle
 
Mi naomba nimwongelee aliye andaa hiyo taarifa,
Ameshindwa kua makini katika kuandika majira ya saa,ametumia 12 (akimaanisha saa sita mchana)na (6 akimaanisha muda huo huo),huu ni uzembe wa hali ya juu,vyombo vya kimataifa wakichukua hiyo ripoti atakua kikaangoni.
 
Wanarushia mpira ili isijulikane nani mzembe. Ila itajulikana tu. Uzembe ni uzembe huwezi kufunika kwa taarifa.
 
Majina ya barabara kufanana yamemchanganya Rubani!. Iweje barabara za KIA na Arusha zote ziitwe Na. 27. ??
 
mmhh!!!Huyo mwongoza ndege hapo KIA au hapo ofisini KIA hakuna kiona mbali kujua kama ndege ipo karibu au laaaa????
kama hakuna kwa nini ??Je kama kipo huo sio uzembe?kama hakuna si swala la muongozaji bali ni la wasimamizi yaani management au mkurgenzi wa uwanja wa ndege.kama kipo huyo muongozaji anapaswa kuchukuliwa hatua haraka.

Pia kwanini hapo kia wamechelewa kutoa ndege mbovu mapema kwani hawajui kuwa kuna ndege itakuja kutua ina mana hawana ratiba ya kujua zinazotua na zinzitarajia kuondoka.

Pia huyo rubani mpaka anatua Arusha na hali anaambiwa kuna ndege ina matatizo uwanja wa kia na kwanini atue hapo Arusha wakati mazingira anayopewa katika mawasiliano na anayoyaona hayapo sawa ???au ndo wakiwa hewani wanakuwa hawaoni chini mm cjui labda wanaojua wataelza hapa,ingawa rubani hana lawama sana .

Ushauri wanguserikali iwawajibishe wahusika wote juu ya swala hili wa uwanja wa ndege wa kia na pia kwa taatizo hili iwe ni changamoto kwa serikali juu ya swala zima la miundombinuTustegemee kiwanja kiomja au viwili au vitatu ni muhimu kuwa na vingine zaidi kama wa Arusha sio wa kuwa hivyo ni jiji kubwa.ni sawa na dar tujiandae kujenga kingine kikubwa zaid maeneo ya mkoa wa pwani

ia kwanini hapo kia wamechelewa kutoa ndege mbovu mapema kwani hawajui kuwa kuna ndege itakuja kutua ina mana hawana ratiba ya kujua zinazotua na zinzitarajia kuondoka.

MKUU NILIOMBA TUSUBIRI TCAA
NAAMINI WAKATI NIKISUBIRI NILIULIZA HILI SWALI HAPO JUU ..NAAMINI TCAA WAMEMALIZA YALE TULIOKUWA TUKIAMINI..SASA KUFANYIA KAZI NANI ALIHUSIKA NA TUKIO LILE KWA KUWA MUNGU WA WATANZANIA NI MUNGU WA REHEMA NA UPENDO HAKIKA AKUNA ATAKAETOLEWA ZAIDI YA KUTUMIWA MEMO

MABRIKIWE-+
 
Hapo idara ya Anga na mamlaka husika ijifunze kupitia makosa.
KWANI KIA NA ARUSHA INASHINDIKANA NINI KUJENGA VIWANJA VYA KISASA NA VYA KIWANGO?
VUNJILIA MBALI AU NDO SABABU ZA KIJESHI KUTENGANISHA MONDULI NA HUO UWANJA WA ARUSHA!!
Tutaendelea kuongoza kwa mambo ya OVYO OVYO hadi miaka 50 ijayo ya uhuru!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom