Taarifa ya Lissu kwa vyombo vya habari kuhusu Spika wa Bunge

Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?


Faiza,
You've failed! Just admit it!
 
huyu mama anajidanganya saaaana na nguvu ya utawala wa ccm. yeye anadhani ccm itabaki milele. CCM nayo kwa kumkumbatia huyu mama hawajui kuwa ndo wanajichimbia kaburi lao bila kujua na hakika hakuna tena na mwenye imani na hili kundi la walafi wachache wanaojilimbikizia mali na kutafuna utajiri wa nchi yetu bila huruma, wao wanadhani watu wakipiga makofi au kulundikana kwenye mikutano kufuata tshirts na kanga basi wananchi wameridhia hiyo hali, wa tanganyika wamechoka saaana na hii kitu dhalimu inaitwa ccm na hasa huyu AJUZA mwenye kujiita spika wa bunge la muungano asiye na uwezo wowte wa kuendesha chombo kikubwa km hicho. ipo siku historia itageuzwa. ahsante MH TUNDU LISSU kwa kuliona hilo.
 
Anayosema Mh. Lisu ni sawa lakini atofautishe uanaharakati na ubunge, kwa taarifa hii amewapa nafasi ya kujipanga wajibu mapigo. Laiti kama angeyatoa bungeni na kuwashangaza ingelipa.


Angeyatoa vipi bungeni wakati kanyimwa nafasi ya kuongea?!!
 
Hii sio sawa na kesi ya Nyani kumpelekea mtukufu hakimu Ngedere? Maana kwenye kamati ya kudumu ya kanuni za bunge CCM ni majority. Hata hivyo, kuna advantage kwamba bila kujali maamuzi ya kamati, atajitahid kubadilika maana sasa amewekwa peupe-kila mara watu watakuwa wanayapima au kuyatilia shaka au kuhoji maamuzi yake.

Hili ni fundisho kwetu kama waTZ, kama tunataka kuendelea, hatuwezi kufanya jinsi,rangi, kabila na dini kuwa kigezo cha kwanza ktk kumpatia mtu kazi ya umma. Kama ishu ni mwanamke,naamini kuna wanawake wengine wengi tu wenye elimu na uzoefu wa kutosha kuendesha bunge letu. Hata mtu wakawaida anaweza kuwa amegundua kuwa mara nyingi Mama Makinda ana-crack (hasira na maamuzi ya kukurupuka kama suala la Lema). Hatukutakiwa kurudi chini kiviwango kiasi hiki, hasa baada ya uspika wa Sitta ambao ulilifanya bunge kuwa la wananchi wote na sio la wazee kama kipindi cha Msekwa.
 
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?

Uwezo wako wa kufikiri FaizaFoxy sidhani kama unatofautiana sana na Mama Speaker. Nasema hivyo kwa sababu huyu Speaker mbumbumbu wa sheria anashindwa kutambua kuwa kesi inayomkabili Mh Tundu Lissu si ya mauaji ya Nyamongo bali kuingia kwenye eneo la kuhifadhi maiti. Na wewe naona unaelekea huko huko kwa Speaker kwa kutojua ni kesi gani iko mahakamani. Na kwa taarifa yako Mh Lissu halalimiki kama analalamika for the sake ya kulalamika ila anatafuta haki kwa mauaji ya watu wasio na hatia huko Tarime. Mauaji ambayo yamefanywa na police kama taasisi mojawapo ya serikali.

Bunge kama mhimili mmojawapo wa dola, kazi yake kuu ni kusimamia na kuhoji utendaji wa serikali. Sasa, taasisi mojawapo ya serikali (police) imeua, hivyo ni wajibu wa bunge kudai na kupata majibu toka kwa serikali kwa kutumia mfumo uliowekwa yaani vikao vya bunge. Speaker wetu ameonesha mapungufu makubwa sana katika kusimamia vikao vya bunge na sasa anaonekana kutojua kuwa yeye SI MSEMAJAI wa serikali bali msamamizi wa vikao vya wawakilishi wa wananchi dhidi ya utendaji wa serikali. ELIMU HAINA MWISHO.
 
naomba tuelimishane kidogo kuhusu hii kamati ya kusimamia kanuni za kudumu ya bunge, wahusika wanapatikanaje? tusije tukawa tunazunguka round about...ni vyema tukatizama indepency yao imekaa vipi kabla ya kutegemea maamuzi yao

Hakuna shida, hoja ipelekwe, kwa vyovyote hatutegemei chochote kama kumchukulia hatua Spika, lakini cha muhimu sula hili litajadiliwa kwa mapana na marefu, na hiyo itakuwa funzo kwake, kuliko kukaa kimya na kulalamika kichini chini... kwa kufanya hivi hata wananchi watajadili na mambo kama haya ndiyo yamekuwa yakipunguza mvuto wa watawala wetu, bado wako katika mawazo ya utawala wa mabavu..

Nimemuona TBC punde, inaelekea anajuta kwa kile alichokifanya.. cha msingi ni kujifunza kutokana na makosa, anatia huruma, inaelekea kazi aliyopewa ni kubwa ikilinganishwa na 'vichwa' vilivyopo bungeni. washauri wanatakiwa nadhani bado CCM inao kama watasikilizwa
 
barua haina hata paragraph jamani??? aisee.......

aniwei, spika Makinda ni reflection ya uongozi wa CCM kwani huyo ndiye waliyemuona cream, she is the best speaker CCM can provide at the moment, tutafanyaje sasa wakati Mama Makinda uwezo wake ndio huo

Kwa CCM yeye ni cream of the crop!! aisee.....

unataka paragraf zip ambazo hujaziona wewe?
 
Haki yako kusema hivyo maana nasikia pamoja na shida/tabu zote zilizopo nchini, wenzetu nyie mkombozi wenu ni CCM bila kujali wanafanya nini. Mungu akusaidieni katika juhudi zenu na CCM yenu. Wengine tunadhani Spika hana lolote linalohusiana na mahitaji ya wananchi. Posho analipwa kwa kodi za wananchi lakini yuko pale kwa maslahi ya watu. Wajinga watashabikia weeeeeeh...! lakini mwisho ukweli utakuwa wazi.

Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?
 
sometimes tunapoteza muda kujadili vitu ambavyo ni dhahiri shahiri! kwani ndugu zangu S.Sita aliondolewa kwenye nafasi hiyo kwasababu gani? ni dhahiri ccm hawakupenda the way alivyokuwa transparent na kuliachia bunge lifanye kazi yake. Hivyo walivyomtoa na kumuweka huyu mama i expected from very beginning watz walione hilo kwamba huyu mama is not qualifying to be a speaker and therefore she was just granted the post for rulers interests! kumshangaa huyu mama kwa anayoyafanya ni sawa na umenunua mbwa halafu unamshangaa anapoanza kubweka! you should expect from very beginning kwamba mbwa hubweka!
The best approach to these untolerable misconducts of speaker ni kudili nae while we know there is no possibility for her not to do what she has been told to do!
Swala hapa ni kudai haki halali ya wabunge kuzungumza ili mradi hawavunji sheria na sio kumshawishi speaker asipendelee ccm wakati tunajua hakuna lingine analolijua zaidi ya hilo la kutetea chama and that was obviously the only qualification she had that has led her to have this post.
 
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?

Kama uwezo wako wa kuelewa ndio umefikia hapo basi itakuwa ubongo wako umevilia na damu ya magamba wakati mnajitoa
 
Iringa imetoa watu wengi mashujaa watetezi wa haki. Huyu mama nadhani mhamiaji huko Iringa kama yule waziri fulani wa masomo ambaye alitibua kila kiyu ili kutoa nafasi zaidi kwa wakenya katika shirikisho la East Africa. kuna huyu rukuvi naye ameanza kutibua historia ya mkoa wetu. Watu jasiri kusimamia ukweli.

OMBI MAALUMU KWA MAMA ANNE MAKINDA NA WENZAKE! Mungu ni mwema siku zote naye amesha sema dizaini ya akina Anne Makinda na CCM 'wanamagamba' wamelaaniwa na wapendahaki. Soma MITHALI 24: 24-25 uone jinsi mlivyo na mnavyolaaniwa:
Amwambiaye mtu mwovu,Wewe una haki;
Kabila za watu watamlaan
i, taifa watamchukia.

Bali kwao wakemeao furaha itakuwako;
Na baraka ya kufanikiwa itawajilia.
 
CCM imejikuta iko vitani, Vita ngumu kweli kweli !

Kwanza kuna vita ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya CCM, vita ambayo inatishia kukisambaratisha kwani ni baina ya kundi moja la mafisadi walafi dhidi ya kundi la mafisadi wanafiki. Pili kuna vita dhidi ya Chadema, CCM ikionekana kama jeshi la simba linaloongozwa na kondoo huku Chadema ikiwa kama jeshi la kondoo likiongozwa na simba.

Katika vita ya kwanza, CCM imejikuta njia panda maana mlafi na mnafiki wanaenda sambambamba na hivyo wanahitajiana vinginevyo wanaweza kujikuta wanaanza kutafunana wenyewe kwa wenyewe. Na sasa kwa siri wameamua kuweka tofauti zao pembeni na njia mwafaka zimesukwa ili kwa umoja wao na mshikamano waikabili vizuri Chadema.

Kwa hila walianza kwa kupenyeza rupia kuwarubuni wana Chadema wakala hasara, wakaingiza udini ukawatokea puani, wakawatumia polisi (dola) kupiga na kuua lakini haikusadia na sasa wamerukia mahakama na bunge. Nyombo, Makame, Tendwa, Mwema, Rashidi, Werema n.k hawakutosha na imebidi waongezwe akina Othman, ikulu na Makinda !

Masikini, sikio la kufa.... kaazi kweli kweli !
 
[video=youtube_share;9tSDVM327uo]http://youtu.be/9tSDVM327uo[/video]



Efforts kama hizi ndio tunatakiwa kuzifanya zaidi tunapokuwa nje na sio kukaa muda wote tuko bize kufungua matawi ya CCM London, New York, etc....Labda yule mzee wa @ New York City; US a.k.a mzee wa posho anaweza kujifunza kitu kwa kuangalia jirani zake wanafanya nini kulisadia taifa kuondokana na unyanyasaji huu wa wazi kabisa.
 
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?

Jamvi hili tulitumie kwa kuelimishana, na kuelimisha umma. watanzania tuache tabia ya kuwa vibaraka wa watu, au vyama vya siasa.
Kosa likitendeka lijadiliwe kimasilahi ya taifa. Huu ushabiki wa vyama hautatusaidia.

Hebu tukemee,tukalipie na tuonye pasipo upendeleo wowote. Mapenzi kwa vyama vyetu liwe jambo la pili, utaifa kwanza.
 
Lissu kama mwanasheria anashangaza sana. Sasa mara aseme yeye yuko mahakamani kwa kesi inayohusu hao waliouiliwa Nyamongo halafu alaume Spika hakutenda haki kuzuwia yasiongelewe. Hivi ananini huyu? Ili mradi alalamike tu?

SI asuse kama anaona hatendewi haki? Asuse na kwenda mahakamani pia (Spika sikasema yuko nje kwa dhamana? Au alidanganya hapo Spika). Lissu susa kwenda mahakamani halafu muulize Mbowe zile siku mbili alilaa kitandani? Sakafuni au juu ya desk? Alipokaidi kwenda mahakamani?

Kama huna hoja za msingi kaa kimya au unatafuta umaarufu...Hv umeangalia clip ya video ya "toronto Tanzania solidarity" angalia hiyo weka kwenye youtube then kwa hali hiyo tutaweza vumilia kweli au? Fikiri kabla ya kuongea we mtu usikurupuke au umetumwa.
 
Hapo ambapo Lissu anasema wanapeleka malalamiko pako huru kiasi gani?kama ina watu mfano wa makinda wengi haki haitapatikana.
Labda tutumie kanuni ya wanchi namba moja ambayo mimi naiwakilisha hivi,mbunge yeyote au spika au kiongozi yeyote atakayeshindwa kutetea maswali ya watanzania akiwa ndani ya bunge akija uraiani azomewe kila atakapoenda mpaka atakapoomba msamaha,nimepunguza ukali kidogo hapa,au tuseme apigwe mawe!
 
KAMA HAKI SAWA ANA HATUMTAKI, INA MAANA NCHI HII AINA WAMAMA SHUPAVU WAKALIONGOZA BUNGE? MIM NATAKA WAZEE WATAIFA HILI NA WASOMI TUMWAMBIE KWA VITENDO, TUANDAMANE NCHI NZIMA KUMPINGA, MIM NAAMIN KWA KILA MPENDA MAENDELEO NA MWANA DEMOCRASIA AWE KAMBI YA UPINZAN AMA CHAMA TAWALA HAWEZI KUKUBALIANA NA MWENENDO MZIMA WA UONGOZAJ WA BUNGE, CC IMEKURUPUKA KTK HILI KUMPA LIMBUKEN WA MAWAZO NA UWONGOZ CHOMBO KIZITO KAMA HICHO. NILAZIME AJUWE KILA JAMBO ANALO FUNIKA KTK BUNGE HILI LENYE HAK NA MASILAH YA WANYONGE, NDIVYO NAYEYE ATAKAVYO FUNIKWA, NYOTA YAKE HAITOKUWEKO,HATOKUBMBUKWA WALA KUJALIWA POPOTE PALE KTK NCHI HII KAMA ALIVYO TUFUNIKA WA TANZANIA. Mim KWA UCHUNGU KABISA NASEMA ANG'OLEWE KWA JINSI YEYOTE ILE,TAFADHAL TUONDOLEEN HUYU MTU,B4 MUNGU AJAMUONDOA. Mungu IBARIKI TANZANIA MUNGU WABARIK WATANZANIA. UKAWAPOTEZE HAWA MAJAMBAZ WA RASILIMAL ZA TAIFA HILI KATIKA VILINDI VYA BAHARI YA SHAM. Amen.
 
Back
Top Bottom