Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 289
Heshima Mkuu,
Viongozi wa wilaya ya Lushoto wameshikwa na huzuni baada ya kumpoteza Kamanda Mama.Christina Magoha aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wilaya ya Lushoto. Kifo cha hiki cha ghafla kimetokea hospitali ya mkoa wa Tanga Bombo.
Mungu amlaze mahali pea peponi.Amina
Viongozi wa wilaya ya Lushoto wameshikwa na huzuni baada ya kumpoteza Kamanda Mama.Christina Magoha aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wilaya ya Lushoto. Kifo cha hiki cha ghafla kimetokea hospitali ya mkoa wa Tanga Bombo.
Mungu amlaze mahali pea peponi.Amina